Ndio dawa yao,Demu: Nirushie elfu 10.
Jamaa akarusha elfu 10!
Demu: Na ya kutolea.
Jamaa: Nirudishie nitakusaidia kutoa huku!
Demu: Basi Ahsante!
Soacial network zote ni kula uliwe tuWa badoo, hitwe,chaotus, na dating sites zingine, wadangaji haooo,
Hahaha,nimeambulia kucheka kwanza nitaongezea baadayeEti mtu anaandika; Kama kweli we ni mwanaume nitumie laki moja.
Hivi uume wangu umefungwa kwenye pesa?
Mwingine ... Kama ni hivyo futa namba yangu sitaki mawasiliano na wewe ...
Nitaifutaje wakati nimeikariri kichwani?
Ongeza na wewe!
Wanaoa sana!Ndo wanawake wa siku izii mkuu wavumilie tuu hakuna namna
Usicheke; yaani kuna membo mengine huwa nashindwa kuwaelewa hawa mademu....Hahaha,nimeambulia kucheka kwanza nitaongezea baadaye
Tuachane na hilo mkuuUsicheke; yaani kuna membo mengine huwa nashindwa kuwaelewa hawa mademu....
Anaanzia mbali
Hi;
unanyamaza
Anakufuata FB
Unanyamaza
Anabeep;
Unaamua kumpigia .. anachangamka utafikiri sio huyo alokwambia hataki mawasiliano. Mapepo au?