Kabla hujaagiza gari, pitia hapa kujua gharama kamili za ushuru na bandarini

Tunafahamu uwepo wa Calculator ya TRA.

Maelezo kama haya (hapa Chini) yenye ufafanuzi yanayokupa picha kamili ndio hitaji letu na lengo la hii thread.

Mkuu Mwl.RCT , ni agent gani unamrecommend kwenye kuclear gari bandarini? At Dar port.
 
Hao ndo TRA. Wameamua.
Screenshot_20190906-114137_Chrome.jpeg
Screenshot_20190906-114143_Chrome.jpeg
 
Habari Mck,
Kwa mujibu wa tra calculator
Ushuru wa gari yako ni 11,029,645.19
Na bei ya kuifikisha gari hadi bandari ya Da es salaam, kwa sawa sawa na screenshot yako ni
10,742,976....
Hizi CIF za kwenye calculator ndio zinatumika au TRA wanatumia CIF za kwenye Bill of Lading? Hizo calculator zao wanawekaga CIF ndogo sana mfano hiyo Harrier ukipata ya hiyo bei lazima iwe imechoka sana
 
Habari ndugu,

Calculator inafanya kazi sawia kabisa .. na ndio hiyo tunayoitumia.
Lakini, elewa kwamba, baada ya ushuru, kuna gharama zingine za bandari n.k...
Ndio maana tumeuliza, TRA wanafuata hiyo calculator au CIF iliyopo kwenye Bill of Lading? Ukitumia hiyo calculator utapata gharama kidogo ila kama documents zako zinaonyesha umenunua hiyo gari kwa bei zaidi ya hiyo kwenye Calculator yao wanabadilisha gharama..
 
Wanatumia iliyo kwenye BL..na hapa watu wengi huwa hawaahamu mwanzoni, inakuwa kama surprise hivi
Ndio maana tumeuliza, TRA wanafuata hiyo calculator au CIF iliyopo kwenye Bill of Lading? Ukitumia hiyo calculator utapata gharama kidogo ila kama documents zako zinaonyesha umenunua hiyo gari kwa bei zaidi ya hiyo kwenye Calculator yao wanabadilisha gharama..
 
Habari za muda huu,

Pamekua na thread nyingi sana za watu kuomba ushauri/ elimu hasa kwenye suala zima la budget halisi/ kamili ambayo mtu anahitaji kuwa nayo kuweza kumiliki gari...
Mi nauliza gari kama Isuzu Bighorn au Wizard zinazotumia dizel automatuc Je vp gharama za uendeshaj hasa mafuta na Je vp spear zake znapatikan kirahis.

By the wy gar ya disel na petrol ushaur wako nzur ipi
 
Vizuri sana naomba ushauri kwa uzoefu wako kuagiza au kununua kwa madalali wanaotoa matangazo MFano Gari ya mil 13 Premio new model cc 1490 ambayo naipenda sana kuipata kwa 10 au 11mil kwa madalali kipi bora kaka nishauri
Habari za muda huu,

Pamekua na thread nyingi sana za watu kuomba ushauri/ elimu hasa kwenye suala zima la budget halisi/ kamili ambayo mtu anahitaji kuwa nayo kuweza kumiliki gari.

Kwa bahati mbaya, wengi wamekua wakipewa gharama kubwa tofauti na uhalisia hiyo yote kwasababu hawajui...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua gharama kamili za kumiliki hii Gari Mkuu..mm ni mtumishi nimesikia naweza pata msamaha wa Kuimport Kwa gari lisilozidi miaka 10 tangu kutengenezwa..kama unaweza nisaidia kujua baada ya kusamehewa hiyo kodi naweza lips kiasi gani plz plz
Screenshot_2020-01-12-17-12-14.jpeg
Screenshot_2020-01-12-17-12-07.jpeg
Screenshot_2020-01-12-17-11-54.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la hii thread mzee,

Nikusaidia watu wote ... kama unaweza kusoma vizuri hapo kaka, nilitoa wito kwa anaefahamu vingine ambavyo sifahamu ama sijaweka, naomba aweke/aongezee

Nilisahau kuweka shipping line, ni kweli.. unaweza kusaidia kuongezea kaka
1.Used 2002 TOYOTA COROLLA SPACIO V LIMITED/TA-NZE121N for Sale BH405186 - BE FORWARD

2.
Used 2007 HONDA FIT 1.3A/DBA-GD1 for Sale BH368169 - BE FORWARD

3.
Used 2006 HONDA FIT/DBA-GD3 for Sale BH396205 - BE FORWARD
 
Hallo naomba kusaidiwa kuhusu gharama kiujumla ya gari aina ya PREMIO NEW MODEL ya 2014 au 2015 from Japan hadi Dsm including ushuru TRA nk.Asante
Habari za muda huu,

Pamekuwa na thread nyingi sana za watu kuomba ushauri/ elimu hasa kwenye suala zima la budget halisi/ kamili ambayo mtu anahitaji kuwa nayo kuweza kumiliki gari..!
 
T1986MCK,
Habari Mck,
Kwa mujibu wa TRA calculator
Ushuru wa gari yako ni 11,029,645.19
Na bei ya kuifikisha gari hadi bandari ya Da es salaam, kwa sawa sawa na screenshot yako ni 10,742,976.
11,029,645.19 (Ushuru)...
Nchi ina mambo ya kifala sana hii.
 
Hapo unamaanisha kama ulibargain na wajapan wakakupunguzia bei?
No, namaamisha watu wengi wanajua ghrama ya kodi ni ile ya kwenye jedwari la TRA (which is not true). Gharama halisi ya kodi inatokana na bei uliyonunulia gari ambayo inaonekana kwenye BL document.
 
No, namaamisha watu wengi wanajua ghrama ya kodi ni ile ya kwenye jedwari la TRA (which is not true). Gharama halisi ya kodi inatokana na bei uliyonunulia gari ambayo inaonekana kwenye BL document.
Unataka kuniambia kuwa like kikokoteo cha tra sio bei halisi? So kwanini kimewekwa pale?

Mbona mimi nililipa TRA calculator amount na sio ya bill of lading?
 
Hujamuelewa jamaa. Mfano gari umenunua Japan, gharama za kununua hadi Usafiri kufika Dar yaani CIF, TRA wanakadiria itakuwa ni dollar 10,000 hivyo yale makadirio ya ushuru ni ya kiasi hicho walichokadiria. Ikiwa utanunua gari hiyohiyo na kufika Dar kwa labda dola 15,000 ina maana utapata ushuru kutokana na bei hiyo ya dollar 15,000 na si 10,000 kama calculator inavyokadiria. Ili upate benefit ya makadirio, hakikisha wanunua gari kwa thamani isiyozidi makadirio ya CIF ya TRA. Wazoefu watasema.
 
Hujamuelewa jamaa. Mfano gari umenunua Japan, gharama za kununua hadi Usafiri kufika Dar yaani CIF, TRA wanakadiria itakuwa ni dollar 10,000 hivyo yale makadirio ya ushuru ni ya kiasi hicho walichokadiria. Ikiwa utanunua gari hiyohiyo na kufika Dar kwa labda dola 15,000 ina maana utapata ushuru kutokana na bei hiyo ya dollar 15,000 na si 10,000 kama calculator inavyokadiria. Ili upate benefit ya makadirio, hakikisha wanunua gari kwa thamani isiyozidi makadirio ya CIF ya TRA. Wazoefu watasema.
Sawa mkuu nimekuelewa but hiyo calculator si unajaza full description ya hilo gari, sasa iweje bei ibadilke?
 
Back
Top Bottom