kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Asee kumbe jamaa huwa wanatupiga sanaHabari Mck,
Kwa mujibu wa tra calculator
Ushuru wa gari yako ni 11,029,645.19
Na bei ya kuifikisha gari hadi bandari ya Da es salaam, kwa sawa sawa na screenshot yako ni
10,742,976
11,029,645.19 (Ushuru)
10,742,976 (CIF)
Inakua : Tshs
21,772,621.19
Handling ni $7 jumlisha VAT (18%) per cbm (cubic meters)
Ile gari ina 14.621 CBM
Kwahiyo unafanya $7*14.621 = $104 plus VAT (18%)
$122.72
Kwahiyo handling inakua $122.72
CORRIDOR LEVY ;
$0.3 plus vat per cbm
$0.3*14.621 = $5 + 18% VAT = $5.9
Kwahiyo Corridor levy inakua $5.9
WHARFAGE :
Hii huwa ni 1.6% ya thamani ya cif
Cif value ya gari yako ni $4,640
$4,640*1.6% = $74.24
Kwahiyo wharfage ni $74.24
TUJUMLISHE
Handling = $122.72
Corridor levy = $ 5.9
Wharfage = $74.24
= $202.86
Uki change kwa TZS inakua Tshs 476,000
Jumlisha agency fee (200,000)
Inakua Tshs 676,000
USHURU NA GHARAMA ZA KULETA HII GARI TULISEMA JUMLA NI
Tshs 21,772,621.19
Kwahiyo Tshs 21,772,621.19 jumlisha 676,000
Inakua TSHS 22,449,000 (Hiyo ndiyo budget kamili ya kumiliki hilo gari .. yaani hadi kuwa nalo mikononi .. bima haijajumuishwa)