Kabla hujaagiza gari, pitia hapa kujua gharama kamili za ushuru na bandarini

Duh...nikawa najua magari yanayouzwa yard...ukishanunua tu misele inaanza hapo hapo
hata kwenye hizo Yard ushuru wa TRA upo palepale
Labda ununue kwa mtu ambaye tayari keshalipia huo ushuru wa kuingiza Nchini na kapewa namba lakini usithubutu kuingiza hata gari la bure au zawadi, ili lisajiliwe lazima uingie kikokotoo hicho na ulipe
kama Harrier ni ya bure lazima ulipie ushuru milioni 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Mck,
Kwa mujibu wa tra calculator
Ushuru wa gari yako ni 11,029,645.19
Na bei ya kuifikisha gari hadi bandari ya Da es salaam, kwa sawa sawa na screenshot yako ni
10,742,976

11,029,645.19 (Ushuru)
10,742,976 (CIF)

Inakua : Tshs
21,772,621.19


Handling ni $7 jumlisha VAT (18%) per cbm (cubic meters)
Ile gari ina 14.621 CBM

Kwahiyo unafanya $7*14.621 = $104 plus VAT (18%)
$122.72
Kwahiyo handling inakua $122.72

CORRIDOR LEVY ;
$0.3 plus vat per cbm

$0.3*14.621 = $5 + 18% VAT = $5.9

Kwahiyo Corridor levy inakua $5.9


WHARFAGE :
Hii huwa ni 1.6% ya thamani ya cif
Cif value ya gari yako ni $4,640

$4,640*1.6% = $74.24

Kwahiyo wharfage ni $74.24

TUJUMLISHE

Handling = $122.72
Corridor levy = $ 5.9
Wharfage = $74.24

= $202.86

Uki change kwa TZS inakua Tshs 476,000
Jumlisha agency fee (200,000)


Inakua Tshs 676,000

USHURU NA GHARAMA ZA KULETA HII GARI TULISEMA JUMLA NI

Tshs 21,772,621.19

Kwahiyo Tshs 21,772,621.19 jumlisha 676,000

Inakua TSHS 22,449,000 (Hiyo ndiyo budget kamili ya kumiliki hilo gari .. yaani hadi kuwa nalo mikononi .. bima haijajumuishwa)
umesahau na kitu inaitwa SHIPPING LINE Ambayo hapa sijaona ukiiandika
 
umesahau na kitu inaitwa SHIPPING LINE Ambayo hapa sijaona ukiiandika
Lengo la hii thread mzee,

Nikusaidia watu wote ... kama unaweza kusoma vizuri hapo kaka, nilitoa wito kwa anaefahamu vingine ambavyo sifahamu ama sijaweka, naomba aweke/aongezee

Nilisahau kuweka shipping line, ni kweli.. unaweza kusaidia kuongezea kaka
 
Ya Ni Kweli unachosema lengo ni Kuelimishana Na ndio maana nilipopitia uzi wako sikuona shipping line nikakwambia umesahau au mimi sijaona. Na lengo la kusema Mimi sijui shipping line wana calculate vipi kwasababu pale unaponunua gari japan kila kampuni unayonunua wanafanya booking za meli na meli hizo huwa ni za kampuni flani sasa kwa experience yangu kila shiping line inakuwa na bei yake kwa gari aina hiohio japokuwa hazitofautiani sana ndio maana nikakueleza hapo kama unafahamu utusaidie

Kuhusu gharama nyingine naweza kusema Kwenye Calculator ya TRA wanakuwa wamekupa TOTAL Taxes ambayo inakuwa imejumuisha Vitu vifuatavyo
1:Import Duty
2:Excise Duty
3:Excise duty due to Age
4:VAT
5:Custom Processing Fee
6:Railway Dev Levy
7:Vehicle Registration Fee

Hivi vyote vinakuwa vimejumuishwa kwenye calculator ya TRA mfano calculator inaposema ushuru wa Gari X endapo itakuwa bei flani ni 4,646,169.91 maana yake bei hio imejumuisha vitu vyote hapo juu

Sasa baada ya hapo Kuna Gharama nyingine zinazopaswa kulipwa kama ifuatavyo
1: Shipping Line
2Port Charge
3:Wharfage
4:Agent Fee
Hivi ndio sasa zinakuja pia na nadhani hapo Ndio Umevifafanua vizuri sana hapo Juu Ila Gharama ya Agent Fee kuclear gari lako ni makubaliano yako wewe na kampuni husika ya kuclear

Mwenye kufahamu zaidi na zaidi anaweza kuendelea kutupa darasa pia
 
ama za bandari na shipping line fff vvff laki 5!

Charges wanaangalia CBM (cubic Meter) Port Charges ya Hiace Peke yake ni Zaidi ya Laki 5 ambayo inafika mpaka laki 6 na kitu na Shipping line ni Dola 80 mpaka 90 kwahio hapa inategemea na gari lakini Most ya Magari haya Saloon na Baadhi ya SUV inaweza isifike huko
 
Ya Ni Kweli unachosema lengo ni Kuelimishana Na ndio maana nilipopitia uzi wako sikuona shipping line nikakwambia umesahau au mimi sijaona. Na lengo la kusema Mimi sijui shipping line wana calculate vipi kwasababu pale unaponunua gari japan kila kampuni unayonunua wanafanya booking za meli na meli hizo huwa ni za kampuni flani sasa kwa experience yangu kila shiping line inakuwa na bei yake kwa gari aina hiohio japokuwa hazitofautiani sana ndio maana nikakueleza hapo kama unafahamu utusaidie

Kuhusu gharama nyingine naweza kusema Kwenye Calculator ya TRA wanakuwa wamekupa TOTAL Taxes ambayo inakuwa imejumuisha Vitu vifuatavyo
1:Import Duty
2:Excise Duty
3:Excise duty due to Age
4:VAT
5:Custom Processing Fee
6:Railway Dev Levy
7:Vehicle Registration Fee

Hivi vyote vinakuwa vimejumuishwa kwenye calculator ya TRA mfano calculator inaposema ushuru wa Gari X endapo itakuwa bei flani ni 4,646,169.91 maana yake bei hio imejumuisha vitu vyote hapo juu

Sasa baada ya hapo Kuna Gharama nyingine zinazopaswa kulipwa kama ifuatavyo
1: Shipping Line
2Port Charge
3:Wharfage
4:Agent Fee
Hivi ndio sasa zinakuja pia na nadhani hapo Ndio Umevifafanua vizuri sana hapo Juu Ila Gharama ya Agent Fee kuclear gari lako ni makubaliano yako wewe na kampuni husika ya kuclear

Mwenye kufahamu zaidi na zaidi anaweza kuendelea kutupa darasa pia
Ni kweli kabisa kaka
Ahsante kwa kuongezea.

Aidha, shipping, mara nyingi huwa nalipa kati ya $70 -75 hapo!
Ahsante kwa kunikumbusha.
 
Mkuu nipe gharama za hii kwa utaratibu wa kampuni yenu mpaka nakabidhiwa mkononi... https://sp.beforward.jp/toyota/ist/bg181348/id/1248470/?mfg_year_from=2005
Hii ni 11m

Na kwa utaratibu wetu, unaweza kulipia Tshs 8,250,000
Gari ikifika, unakabidhiwa
2,750,000 iliyobaki
Unamalizia kwa instalment
Yaani kila mwezi Tshs 393,000
Kwa muda wa miezi 7

Karibu.


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
 
Hii ni 11m

Na kwa utaratibu wetu, unaweza kulipia Tshs 8,250,000
Gari ikifika, unakabidhiwa
2,750,000 iliyobaki
Unamalizia kwa instalment
Yaani kila mwezi Tshs 393,000
Kwa muda wa miezi 7

Karibu.


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
Ahsante sana mkuu .. Tawatafuta
 
Mkuu nipo gharama zake zikoje kwa hii.
Hii ni 11m

Na kwa utaratibu wetu, unaweza kulipia Tshs 8,250,000
Gari ikifika, unakabidhiwa
2,750,000 iliyobaki
Unamalizia kwa instalment
Yaani kila mwezi Tshs 393,000
Kwa muda wa miezi 7

Karibu.


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
tapatalk_1555537062035.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nipo gharama zake zikoje kwa hii.View attachment 1074609

Sent using Jamii Forums mobile app
Cif = Tshs 13,835,000
Ushuru = Tshs 14,170,000= 28,005,000
Handling = $7*13.896= $98+ 18% vat = $115.64
Corridor levy = $0.3*13.896 = $4+ 18% vat = $4.72
Wharfage = 1.6%*$3,470= $96

= $216.36= Tshs 508,00
Pllus agency fee 200,000

= Tshs 708,000




= Tshs 28,713,000 plus 30,000 ya plate number

Jumla Tsh 28,743,000
(Hapo hadi kuitoa bandarini na kuwa mikononi mwako, bima haijajumuishwa)
Na labda kama budget inakua imebana kwa sababu za wingi wa kimajukumu

Unaweza kuiagiza gari hii kupitia Semsella ENTERPRISES
Badala ya kulipia kwa awamu awamu ya hadi miezi 7
Unalipia 21,557,250 tu
Gari ikifika, unakabidhiwa

Tshs 7,185,750 liyobakia unaimalizia kwa instalment
Ya muda wa miezi 7
Kila mwezi Tshe 1,027,000

Instalment zinaanza mwezi mmoja baada ya kukabidhiwa gari lako.


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
 

Pita na hapa mkuu. Nipe mchanganuo.
Cif = Tshs 13,835,000
Ushuru = Tshs 14,170,000= 28,005,000
Handling = $7*13.896= $98+ 18% vat = $115.64
Corridor levy = $0.3*13.896 = $4+ 18% vat = $4.72
Wharfage = 1.6%*$3,470= $96

= $216.36= Tshs 508,00
Pllus agency fee 200,000

= Tshs 708,000




= Tshs 28,713,000 plus 30,000 ya plate number

Jumla Tsh 28,743,000
(Hapo hadi kuitoa bandarini na kuwa mikononi mwako, bima haijajumuishwa)
Na labda kama budget inakua imebana kwa sababu za wingi wa kimajukumu

Unaweza kuiagiza gari hii kupitia Semsella ENTERPRISES
Badala ya kulipia kwa awamu awamu ya hadi miezi 7
Unalipia 21,557,250 tu
Gari ikifika, unakabidhiwa

Tshs 7,185,750 liyobakia unaimalizia kwa instalment
Ya muda wa miezi 7
Kila mwezi Tshe 1,027,000

Instalment zinaanza mwezi mmoja baada ya kukabidhiwa gari lako.


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
 
Wakuu naombeni gharama za kuingiza gari kutoka Afrika kusini. Gari ni Toyota Hiace wagon, mwaka 2001, 2980cc, Fuel diesel, Seat 9. Bei ya hiyo gari kule ni kama 2000$ na itakuja kwa njia ya barabara(kuendeshwa)
 
Umenunua kwenye kampuni gani,maana na mimi najifikilia kununua gari south africa kuliko japani
Wakuu naombeni gharama za kuingiza gari kutoka Afrika kusini. Gari ni Toyota Hiace wagon, mwaka 2001, 2980cc, Fuel diesel, Seat 9. Bei ya hiyo gari kule ni kama 2000$ na itakuja kwa njia ya barabara(kuendeshwa)
 
Mkuu MAGARI7 , hii IST naiweka barabarani kwa kiasi gani?


-Kaveli-
 
Wakuu,

Gari ya mwaka 2005, imetembea Km 205,000. Je inafaa kununua?


CC: RRONDO .

-Kaveli-
 
Wakuu,

Gari ya mwaka 2005, imetembea Km 205,000. Je inafaa kununua?


CC: RRONDO .

-Kaveli-
Hii engine ni ndogo na kwa mileage ilizotembea itakuwa imechoka kama utalinunua basi muda si mrefu utakuwa unafanya repair tena kubwa kubwa
 
Back
Top Bottom