wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
TANESCO YAO IKIWA KAZINI
Nimeambiwa kuwa Iran bado wanaishi kwenye zama za mawe sasa iweje wao leo wanataka kutuletea madaktari?
Hii ni nafasi yetu sote kufanya research kujua huko Iran hali ikoje?
Nakubaliana na maelezo yako kiasi fulani; lakini hata hao madaktari "tumeambiwa ni madaktari kutoka nje" Je ni jinsi gani mwananchi wa kawaida ataweza kudhibitisha kweli ni madaktari na wala sio kundi la watu tu? Inaweza pia kuwa wanafunzi wanaosomea udaktari wanakuja for exchange program. Ni ukweli usiofichika wananchi wengi hawana imani tena na kile serikali inachosema; inawezekana serikali ikaleta wanafunzi wa medicine ( tena bila cost yeyote) wakatudanganya wame-spend 200 billion on them alafu pesa inaingia mfukoni kwa fisadi.
On a separate note; hii mambo yakuonyesha hospitali za Iran kwenye picha tunaambiwa ndio hospitali zao zilivyo, tunaamini vipi. Je hizo ni hospitali ni za serikali au private? Je hospitali zote ziko hivyo? Je huko Iran kuna matabaka/class? Je hao madaktari wanaokuja ndio 1st class (wanaothaminiwa huko) au ndio yale yale tu? Nafahamu Iran wako way far ahead of us, lakini tunachoonyeshwa kwenye TV/picha kinaweza kuwa sio ukweli halisi, au sicho tutakachokipata. Je ni chombo gani cha serikali kinaaminika kinachoweza kupima ubora wa hawa madaktari?
Press TV ni kama TBC yetu, wanaonesha yale wakubwa wanataka. Ndio Iran wamepiga hatua lakini sio kama ambavyo wengi wanataka tuamini. Wana watu kibao wanaochunga mbuzi kama sisi huku bongo, na meno machafu kuliko ya mnywa wanzuki.
Iran ina maneeo inafanya vizuri ila bado si nchi ya kuweza tushawishi tuache mrafiki wengine wenye maana na maendeleo.Irani wasitufanye chambo wakati wamezidia,huku hawaheshimu ustawi wetu.Ni vipi watake support kwa kutulazimisha kuchukiwa na mtaifa yote muhimu duniani, halafu bado watudhalilishe kwa kutuvuga ndani ya nchi kwa kuwafadhili UAMSHO na kufadhili waandishi duni wanaoeneza propaganda za kubadili historia yetu na kuandika historia isiyo.Leo tuna watanzania wapuuzi wanatafuta watu wa dini yao katika kila chema cha nchi:Sijui uhuru wa nchi, sijui mwanzilishi wa hospital ya muhimbili, etc.Haya mambo ya kuambiwa huwa yanatufanya tudumae kwa kiasi fulani na kukosa kujua mengi sana.Nilianga Press TV ambayo ni ya wairani lakini lugha ya kingereza,na wanacho kipindi chao kinaitwa Iran today.Kwakweli nimepata kujua mengi kuhusu hawa jamaa jinsi walivo hodari kielimu na maendeleo.Mahospitali yao ni ya hali ya juu na ukija ktk usafiri kwa mfano Tehran wanazo treni za Under ground ambazo ni nzuri na safi na za kileo kuliko hata za London.Na ni mahodari wa kutunza historia zao.Kwakifupi sina wasiwasi nao hasa ktk utendaji wa kazi na labda itatusaidia na sisi kuboresha mengi ktk hospitali zetu.
Lakini kwa ushauri tu serikali iliangalie hili suala la mgomo wa madaktari wetu kwani hawa ni wananchi wenzetu na lazima wasikilizwe.Kama watachukua madactari wageni ina maana watanzania watakuwa hawana kazi tena kwasababu ya madai yao na ni ya msingi tu.Na je inamaana madaktari wa kigeni watafanya kazi milele hapa kwetu?Hapana lazima kunakitu ambacho kitaweza kurahisisha matatizo haya.
GDP (purchasing power parity): | |
$928.9 billion (2011 est.) country comparison to the world: 18 $906.2 billion (2010 est.) $877.6 billion (2009 est.) note:data in US dollars | |
| |
GDP (official exchange rate): | |
$480.3 billion (2011 est.) | |
| |
GDP - real growth rate: | |
2.5% (2011 est.) country comparison to the world: 142 3.2% (2010 est.) 3.5% (2009 est.) | |
| |
GDP - per capita (PPP): | |
$12,200 (2011 est.) country comparison to the world: 99 $12,100 (2010 est.) $11,900 (2009 est.) note:data are in 2011 US dollars |
GDP (purchasing power parity): | |
$928.9 billion (2011 est.) country comparison to the world: 18 $906.2 billion (2010 est.) $877.6 billion (2009 est.) note:data in US dollars | |
| |
GDP (official exchange rate): | |
$480.3 billion (2011 est.) | |
| |
GDP - real growth rate: | |
2.5% (2011 est.) country comparison to the world: 142 3.2% (2010 est.) 3.5% (2009 est.) | |
| |
GDP - per capita (PPP): | |
$12,200 (2011 est.) country comparison to the world: 99 $12,100 (2010 est.) $11,900 (2009 est.) note:data are in 2011 US dollars |
Nimeambiwa kuwa Iran bado wanaishi kwenye zama za mawe sasa iweje wao leo wanataka kutuletea madaktari?
Hii ni nafasi yetu sote kufanya research kujua huko Iran hali ikoje?
Upo dunia gani wewe? eti umeambiwa kumbe hujui kitu....IRAN sio wenzetu ata kidogo fatilia documentary mbalimbali na utaona GREECE AND PERSIAN ndo elimu toka zama na zama imelala....IRAN wanaexport all medicines including medical equipments na mgogoro wao mkubwa ulikua ni shida ya ku import vifaa vya kutibu cancer kwani hii technology ilikua kwa nchi za magaribi km vile huduma za mionzi na ndo mwanzo kutrain watu wao kwenye nuclear issue kwani wagonjwa wa cancer matibabu yake ni miionzi ya nuclear....IRAN ana export vifaa mpaka kwa nchi ULAYA mfano GERMANY ameoda meli kubwa toka IRAN sasa hao utajilinganisha nao na walikua km sisi tu lakini wamewekeza ktk elimu...Tembelea websites zao kwenye ishu za technology na last year ndo ilikua leading nation kwa kuchapisha vijarida vingi vya sayansi...wenzako wanategemea by 2017 warushe asrtonomy ktk sayari, wanaexport ndege,magari,meli,silaha mbalimbali na optical obejct eg binocular,lenses na upuuzi mwingine....Hawa sio waarabu hawa ni wapersia bro
Iran ina maneeo inafanya vizuri ila bado si nchi ya kuweza tushawishi tuache mrafiki wengine wenye maana na maendeleo.Irani wasitufanye chambo wakati wamezidia,huku hawaheshimu ustawi wetu.Ni vipi watake support kwa kutulazimisha kuchukiwa na mtaifa yote muhimu duniani, halafu bado watudhalilishe kwa kutuvuga ndani ya nchi kwa kuwafadhili UAMSHO na kufadhili waandishi duni wanaoeneza propaganda za kubadili historia yetu na kuandika historia isiyo.Leo tuna watanzania wapuuzi wanatafuta watu wa dini yao katika kila chema cha nchi:Sijui uhuru wa nchi, sijui mwanzilishi wa hospital ya muhimbili, etc.
Ritz Unachekesha Ati Wanatengeneza Kila Kitu???naona Unahitaji Kujambishwa kthe Comedy Hita Cop and Paste... Hata wenyewe hawawezi kusema Wanatengeneza wao Unajua Irani ina waisrael waishio huko na wanapata huduma zote na kulindwa... ujuha wako peleka Nyumba nyeupe... Hakuna muirani mwenye Akili za hivyo hata Huyo Ahmedinajad Asili ake ni Israel na si Persian Nakuomba japo U google tu upate Darsa
Nimeambiwa kuwa Iran bado wanaishi kwenye zama za mawe sasa iweje wao leo wanataka kutuletea madaktari?
Hii ni nafasi yetu sote kufanya research kujua huko Iran hali ikoje?