NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,462
- 17,291
Naliomba jeshi la polisi likamilishe uchunguzi wa nani alimpa Mangula Sumu na ni nani aliemshambulia Lisu kwa risasi ili wote wajumuishe kwenye mashtaka ya kuua viongozi na ugaidi kama mnavotaka kufanya Kwa Mbowe!
Huku mtaani kuna tetesi zinazagaa kuwa Mama umesimamishwa Uongozi wako na Jeshi ndilo linaongoza nchi!Naanza kuamini kwasababu Tangu awamu ya tano mmewafundisha Watanzania kuvunja katiba nashukuru na jeshi limejifunza udhaifu huu ndio maana Upinzani unaminywa tena kwa kuvunjwa kwa sheria za nchi!
Mama hakufundishwa hiki tunacho kiona kuna watu wanafanya lao.
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
Huku mtaani kuna tetesi zinazagaa kuwa Mama umesimamishwa Uongozi wako na Jeshi ndilo linaongoza nchi!Naanza kuamini kwasababu Tangu awamu ya tano mmewafundisha Watanzania kuvunja katiba nashukuru na jeshi limejifunza udhaifu huu ndio maana Upinzani unaminywa tena kwa kuvunjwa kwa sheria za nchi!
Mama hakufundishwa hiki tunacho kiona kuna watu wanafanya lao.
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!