Kabla Bunge halijapitisha, Mwigulu aamuru polisi kuachia magari iliyoshikilia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,080
103,312
Kupitia TBC Habari Waziri wa Mambo ya ndani ameamuru jeshi la polisi kuachia magari yote yaliyokamatwa kwa kosa la kutokulipa kodi ya leseni ya barabara.

Mwigulu akiwa katika mkutano wa hadhara amewaelewa wananchi kwamba serikali imefuta kodi hiyo hivyo hategemei polisi kuendelea kukamata watu na kushikilia magari hayo

MY TAKE
Amri hii ya waziri imetoka kabla ya bunge kupitisha bajeti hiyo. Je, Mwigulu katumia mamlaka ipi?

Je, Mwigulu ni waziri mwenye mamlaka na kodi hiyo?Ninachofahamu mimi kodi hiyo hukusanywa na wizara ya fedha kupitia TRA na polisi inakuwa enforcement department tu lakini sio mkusanyaji, je Mwigulu amepewa na nani kuzungumzia kodi?
 
Kupitia TBC Habari Waziri wa Mambo ya ndani ameamuru jeshi la polisi kuachia magari yote yaliyokamatwa kwa kosa la kutokulipa kodi ya leseni ya barabara. Mwigulu akiwa katika mkutano wa hadhara amewaelewa wananchi kwamba serikali imefuta kodi hiyo hivyo hategemei polisi kuendelea kukamata watu na kushikilia magari hayo

MY TAKE
Amri hii ya waziri imetoka kabla ya bunge kupitisha bajeti hiyo,je Mwigulu katumia mamlaka ipi?Je, Mwigulu ni waziri mwenye mamlaka na kodi hiyo?Nachofahamu mimi kodi hiyo hukusanywa na wizara ya fedha kupitia TRA na polisi inakuwa enforcement department tu lakini sio mkusanyaji, je Mwigulu amepewa na nani kuzungumzia kodi?
Hamkosagi la Kusema. Kafie Mbele Huko
 
Kupitia TBC Habari Waziri wa Mambo ya ndani ameamuru jeshi la polisi kuachia magari yote yaliyokamatwa kwa kosa la kutokulipa kodi ya leseni ya barabara. Mwigulu akiwa katika mkutano wa hadhara amewaelewa wananchi kwamba serikali imefuta kodi hiyo hivyo hategemei polisi kuendelea kukamata watu na kushikilia magari hayo

MY TAKE
Amri hii ya waziri imetoka kabla ya bunge kupitisha bajeti hiyo,je Mwigulu katumia mamlaka ipi?Je, Mwigulu ni waziri mwenye mamlaka na kodi hiyo?Nachofahamu mimi kodi hiyo hukusanywa na wizara ya fedha kupitia TRA na polisi inakuwa enforcement department tu lakini sio mkusanyaji, je Mwigulu amepewa na nani kuzungumzia kodi?
Kiukweli ni kosa kisheria amelifanya ila kosa akifanya ficcm inakuwa si kosa angesubiri hadi bunge lilidhie kisha ndio aibuke na amri yake kwa police
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anayeuliza mamlaka utashangaa ukimuona...kazi ipo
Mkuu mimi ni mfaidika wa huu ''msamaha'' lakini hoja yangu unaiona ila ni ubishi tu. Nakuuliza bunge limeidhinisha?Nakuuliza waziri Mpango alisema nini juu ya madeni?
 
Huu ni ushahidi wameandaa bajeti ya kisiasa kwa malengo ya kisiasa.

Wanachosahau ni kuwa wanaomiliki magari ni asilimia ndogo sana ya watanzania ukilinganisha na watanzania wengi watakoumizwa na kukerwa na hii kodi.

In short, work done hapa ni zero tena big zero!
 
Back
Top Bottom