Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Nimekuwa nikitumia mtandao wa Airtel kwa muda mrefu sasa. Lakini siku za hivi karibuni nimegundua kama Airtel wamekuwa si waaminifu katika uhusiano wetu.
Airtel they are cheating. kuna kifurushi huwa najiunga cha GB1 uishaji wake umekuwa wa kushangaza sana. Kiasi najiuliza why airtel wanifanyie hivi hata mimi ambaye nimekuwa mteja wao wa muda mrefu?
Inawezekana kabisa nikawa sijaangalia videos au kutumia sana internet but soon inakuja meseji yao kuwa nmetumia asilimia 90 za bundle.
Najiuliza nimetumia wapi hizo data? Hakuna kitu ambacho ngesema maybe nime download pasipo mimi kujua au nme update. No, i know how to manage my phone.
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kwa hii mitandao ya simu kwa wizi wanaotufanyia sisi wateja Mpaka natamani ngeeenda kuishi tena USA au Canada kule hawana wizi wa namna hii.
Nchi za kiafrika ni shida sana.nmepita pita nchi za wenzetu internet si gharama kama huku.hili jambo serikali ya kikwete ilisema kwa kuleta mkongo wa taifa tungekuwa na ahueni.
But kama kawaida Wanasiasa na ahadi ni ndugu ila utekelezaji na Wanasiasa ni mbingu na ardhi.
Airtel they are cheating. kuna kifurushi huwa najiunga cha GB1 uishaji wake umekuwa wa kushangaza sana. Kiasi najiuliza why airtel wanifanyie hivi hata mimi ambaye nimekuwa mteja wao wa muda mrefu?
Inawezekana kabisa nikawa sijaangalia videos au kutumia sana internet but soon inakuja meseji yao kuwa nmetumia asilimia 90 za bundle.
Najiuliza nimetumia wapi hizo data? Hakuna kitu ambacho ngesema maybe nime download pasipo mimi kujua au nme update. No, i know how to manage my phone.
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kwa hii mitandao ya simu kwa wizi wanaotufanyia sisi wateja Mpaka natamani ngeeenda kuishi tena USA au Canada kule hawana wizi wa namna hii.
Nchi za kiafrika ni shida sana.nmepita pita nchi za wenzetu internet si gharama kama huku.hili jambo serikali ya kikwete ilisema kwa kuleta mkongo wa taifa tungekuwa na ahueni.
But kama kawaida Wanasiasa na ahadi ni ndugu ila utekelezaji na Wanasiasa ni mbingu na ardhi.