Kabila la Wapare maofisini/makazini

Status
Not open for further replies.

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2011
303
154
Ndugu zangu, sina uzoefu na hili lakini pia sina uhakika nalo.

Baada ya kupata ajira miaka kadhaa iliyopita, nilichukua likizo ya mwaka na kuamua kwenda kwa wazee wangu kupumzika. Nilipokuwa naongea na mzee wangu kuhusu maisha yangu kazini, aliniuliza iwapo ofisini kwetu kuna wapare. Nikamueleza kuwa, lah ofisini kwetu hakuna Mpare. Sikuishia hapo, bali nilihoji "Sababu za kuulizia uwepo wa Wapare".. Jibu alilonipa ni kuwa," Wapare ni watu wa majungu sana ". Sikuipa uzito sana dhana yake, kwani nilihisi labda alishawahi kufanyiwa majungu na Mpare mmoja nae akaamua kuwahukumu wote.

Miaka ikapita, na nikapata uhamisho kuhamia mkoa mwingine. Nikampigia simu rafiki yangu kumjulisha uhamisho wangu. Huyo rafiki yangu, amenizidi zaidi ya miaka 20! Nilipomjulisha kuwa, nimehamishwa, akasema "Omba Mungu unapohamia, ofisi yenu isiwe na Wapare".. Nikakuuliza" Wapare wana nini? ".. Jibu alilonipa ni kuwa, ofisi yenye Wapare huwa haina utulivu.

Kilichonifanya kuuleta uzi huu, ni kuwa, Siku za karibuni nilikuwa katika daladala. Jirani yangu kilikuwa na watu wawili wanaongea, na inavyoonesha mmoja (ambaye alikuwa anasimulia) anafanya kazi katika Kampuni ya Usafirishaji. Yaani anaendesha magari ya mizigo kwenda nchi jirani zetu. Katika maongezi yao, kijana huyo alikuwa akionesha kuwa, hana furaha kazini na anafikiria kuacha kazi. Mwenzake akawa anampa moyo na kumjaza matumaini. Yule aliyekuwa akisimulia akasema "ile kampuni yetu imejaa Wapare, haiwezi kukaa sawa"

Kwa wenye uzoefu wa kufanya kazi ofisi moja na Wapare, je Wapare ni watu wa kufitinisha? Au haya yametokea tu accidentally?
 
Aaaahaaaaa nimecheka kweli mimi ni bint wa kipare ila nilikua nafanyiwa fitna za ajabu na Bint wa kichaga Alhamdulilah now nimeachana na mambo Ya kuajiriwa nafanya yangu
 
Ndugu zangu, sina uzoefu na hili lakini pia sina uhakika nalo.

Baada ya kupata ajira miaka kadhaa iliyopita, nilichukua likizo ya mwaka na kuamua kwenda kwa wazee wangu kupumzika. Nilipokuwa naongea na mzee wangu kuhusu maisha yangu kazini, aliniuliza iwapo ofisini kwetu kuna wapare. Nikamueleza kuwa, lah ofisini kwetu hakuna Mpare. Sikuishia hapo, bali nilihoji "Sababu za kuulizia uwepo wa Wapare".. Jibu alilonipa ni kuwa," Wapare ni watu wa majungu sana ". Sikuipa uzito sana dhana yake, kwani nilihisi labda alishawahi kufanyiwa majungu na Mpare mmoja nae akaamua kuwahukumu wote.

Miaka ikapita, na nikapata uhamisho kuhamia mkoa mwingine. Nikampigia simu rafiki yangu kumjulisha uhamisho wangu. Huyo rafiki yangu, amenizidi zaidi ya miaka 20! Nilipomjulisha kuwa, nimehamishwa, akasema "Omba Mungu unapohamia, ofisi yenu isiwe na Wapare".. Nikakuuliza" Wapare wana nini? ".. Jibu alilonipa ni kuwa, ofisi yenye Wapare huwa haina utulivu.

Kilichonifanya kuuleta uzi huu, ni kuwa, Siku za karibuni nilikuwa katika daladala. Jirani yangu kilikuwa na watu wawili wanaongea, na inavyoonesha mmoja (ambaye alikuwa anasimulia) anafanya kazi katika Kampuni ya Usafirishaji. Yaani anaendesha magari ya mizigo kwenda nchi jirani zetu. Katika maongezi yao, kijana huyo alikuwa akionesha kuwa, hana furaha kazini na anafikiria kuacha kazi. Mwenzake akawa anampa moyo na kumjaza matumaini. Yule aliyekuwa akisimulia akasema "ile kampuni yetu imejaa Wapare, haiwezi kukaa sawa"

Kwa wenye uzoefu wa kufanya kazi ofisi moja na Wapare, je Wapare ni watu wa kufitinisha? Au haya yametokea tu accidentally?
haaa mie ni mpare sina jungu hata moja
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mimi nilisikia kwenye maongez ya watu flan wakisema eti wakimkuta mpare anang'atwa na nyoka porin watamuua mpare nakumuacha nyoka aende. Ila ni imani tu na chuki watu wamejijengea kwa makabila flan flan. Umbea majungu fitina hila ghilba na ushirikina makazin ama sehem yeyote ile ni HULKA YA MUAFRIKA MWEUSI baas
 
Aaaahaaaaa nimecheka kweli mimi ni bint wa kipare ila nilikua nafanyiwa fitna za ajabu na Bint wa kichaga Alhamdulilah now nimeachana na mambo Ya kuajiriwa nafanya yangu
Kama wote ni mabinti hiyo ni issue nyingine hata angekua mhaya majungu yasingeisha as long wote ni mabint na ugonvi wenu unajulikana tu ni wa aina gani.
 
Mimi nilisikia kwenye maongez ya watu flan wakisema eti wakimkuta mpare anang'atwa na nyoka porin watamuua mpare nakumuacha nyoka aende. Ila ni imani tu na chuki watu wamejijengea kwa makabila flan flan. Umbea majungu fitina hila ghilba na ushirikina makazin ama sehem yeyote ile ni HULKA YA MUAFRIKA MWEUSI baas
Roho mbaya sana hiyo na wivu ndani yake naona ukabila unakuja kwa kasi sana Tanzania.
 
Ndugu zangu, sina uzoefu na hili lakini pia sina uhakika nalo.

Baada ya kupata ajira miaka kadhaa iliyopita, nilichukua likizo ya mwaka na kuamua kwenda kwa wazee wangu kupumzika. Nilipokuwa naongea na mzee wangu kuhusu maisha yangu kazini, aliniuliza iwapo ofisini kwetu kuna wapare. Nikamueleza kuwa, lah ofisini kwetu hakuna Mpare. Sikuishia hapo, bali nilihoji "Sababu za kuulizia uwepo wa Wapare".. Jibu alilonipa ni kuwa," Wapare ni watu wa majungu sana ". Sikuipa uzito sana dhana yake, kwani nilihisi labda alishawahi kufanyiwa majungu na Mpare mmoja nae akaamua kuwahukumu wote.

Miaka ikapita, na nikapata uhamisho kuhamia mkoa mwingine. Nikampigia simu rafiki yangu kumjulisha uhamisho wangu. Huyo rafiki yangu, amenizidi zaidi ya miaka 20! Nilipomjulisha kuwa, nimehamishwa, akasema "Omba Mungu unapohamia, ofisi yenu isiwe na Wapare".. Nikakuuliza" Wapare wana nini? ".. Jibu alilonipa ni kuwa, ofisi yenye Wapare huwa haina utulivu.

Kilichonifanya kuuleta uzi huu, ni kuwa, Siku za karibuni nilikuwa katika daladala. Jirani yangu kilikuwa na watu wawili wanaongea, na inavyoonesha mmoja (ambaye alikuwa anasimulia) anafanya kazi katika Kampuni ya Usafirishaji. Yaani anaendesha magari ya mizigo kwenda nchi jirani zetu. Katika maongezi yao, kijana huyo alikuwa akionesha kuwa, hana furaha kazini na anafikiria kuacha kazi. Mwenzake akawa anampa moyo na kumjaza matumaini. Yule aliyekuwa akisimulia akasema "ile kampuni yetu imejaa Wapare, haiwezi kukaa sawa"

Kwa wenye uzoefu wa kufanya kazi ofisi moja na Wapare, je Wapare ni watu wa kufitinisha? Au haya yametokea tu accidentally?
 
Haya nayo ni majungu, ngoja tuone watu walete majungu yao
 
Sidhani km kuna kitu km icho,isije kua labda kuna kidem cha kipare kimekutolea cha mbavuni alafu unakuja uzi wa kikekike apa unaanza kuwakandia hawa jamaa!mbona wapo fresh tu wapare tu uku maofisini
 
Hilo liko wazi, na tatizo kubwa ni sababu wapare wengi na andunje.

So relate uandunje na majungu utapata +results
 
Kwanini wapare tu?
Jana nilikuwa nawaambiwa wazazi wangu juu ya kuwa nina mchumba walifurahi sana walivyoanza kuniauliza jina lake na asili yake nilivyowatajia tu kabila la huyo binti kama ni mpare ambaye ndiye mke mtarajiwa walibadirika wakaanza kusema maneno ya tofauti tofauti aiseee nilikaa nawaza hadi leo na hapa naona post ya ufitinishaji wa kabila hilo jaman sasa mbona mi nataka kuoa mpare itakuaje hapo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom