Kabila la Kiiraqw laweza kupotea kabisa Tanzania

Wairaqw ni wengi mno. Idadi yao inakadiriwa kuwa zidi ya millioni mmoja.Wengi sasa wamehamia Loliondo, Iramba, Kondoa, Dodoma, Kiteto, Kilindi n.k., huko hakuna DAA"WI
 
Wairaqw ni wengi mno. Idadi yao inakadiriwa kuwa zidi ya millioni mmoja.Wengi sasa wamehamia Loliondo, Iramba, Kondoa, Dodoma, Kiteto, Kilindi n.k., huko hakuna DAA"WI[/QUOTE

Kupotea kwa kabila kunaweza kukatokea but baada ya kipindi kirefu sana. Pamoja na mambo mengi swala la watu kuoa au kuolewa nje ya makabila yao na si tu Wairaqw inachangia. Pia tusisahau kuwa watu huhama na kuhamia. Maeneo ambayo zamani yalikaliwa na kabila moja tu leo yanakaliwa na makabila mengine-mfano mzuri ni wasukuma na wadatooga waliohamia kwenye bonde la mto rufiji na kuanza kufuga ingawa haikuwa jadi ya watu wa pwani kufuga. Leo hii hawa nao wanajulikana na wanajiita kama warufiji.
Kuhusu daawi-haiwezi changia kabila kuondoka hata cheme actually inaweza saidia kabila kukua kwamfano-swala la ndugu wa damu kutooana, ukiangalia kwa upana wake pia kama kuna tatizo la katika ukoo fulani kwenye maswala ya uzazi basi kwa kuoa nje ya ukoo hili tatizo linakuwa limekwepeka kwa kiasi fulani.
Kwa ufupi tu Wairaqw wako zaidi ya 500,000 na ukijumlisha waliochanganyikana na wabondei wa Tanga, na waliohamiakwingineko wanaweza fikia kwenye 700,000 lakini millioni ni idadi kubwa mno.
 
Shemeji yako mwenyewe Mu-iraq, nani kakwambia wakwe zangu wanapotea? Wako wengi na kama ukitaka njoo pm nikuunganishie.
 
Uhusiano wa karibu wa damu ni hatari maana ishu za IQ na uwezekano wa magonjwa ya kurithi kurithiwa na watakaozaliwa kupata athari (negative impacts) ni mkubwa na upungufu wa maadili ni sambamba na hilo. Sasa bosi, uo uhusiano wa ki-damu wa karibu kwenye ukoo kati ya wanaooana utasababisha vipi kabila kutoweka....? Unataka kusema kutakuwa na GENE_EXTINCTIN yaani UKOMO WA VINASABA...?

Wataalamu mtuambie
 
Uhusiano wa karibu wa damu ni hatari maana ishu za IQ na uwezekano wa magonjwa ya kurithi kurithiwa na watakaozaliwa kupata athari (negative impacts) ni mkubwa na upungufu wa maadili ni sambamba na hilo. Sasa bosi, uo uhusiano wa ki-damu wa karibu kwenye ukoo kati ya wanaooana utasababisha vipi kabila kutoweka....? Unataka kusema kutakuwa na GENE_EXTINCTIN yaani UKOMO WA VINASABA...?

Wataalamu mtuambie. ILa nafkiri kama wanaoana wenyewe kitakachotokea ni kuongeza ukubwa wa kabila. Hii ni nzuri kama kabila lenye mnazo STRONG VALUES maana mtakua mnalinda utamaduni wenu dhidi ya athari ambazo mngepata kwa kuchanganyika zikiwemo utamaduni wa kigeni/kabila geni n.k

Huenda wanaishi kama WAISRAELI ambao walipigwa Marufuku kuoa wanawake wa kigeni maana kwa kufanya vile ingekua ni mwanzo wa KUABUDU MIUNGU YA KIGENI. Hata wamasai asilimia kubwa wanapenda kuoa au kuolewa na wenzao.
Uliwahi huwahoji ni kwa nini labda ni nini sababu ya hiyo DAAWI...?
 
Unajua mgao unategemea na reception iko vip!Sio kila mtu anaweza gawa!
Uzuri wao unafanya wawe approached na watu wengi na huwa hawana hiana!
Uwe na uso kama gume gume alafu utarajie frequence ya kutongozwa iwe kubwa thubutu labda kwa Ndumba
 
Pamoja na sababu hiyo, kabila la ki-Iraqw ni wengi sidhani kama litapotea. Ukianzia Karatu, Daudi, Masieda, Bargish antsi, Arri, Mbulu mjini, Anslay, Gehandu, Gedamar, Titiwi, Kwermusl, Khaday, Kainamu, Nahasey, Tsaayo-raat, Hayloto, Murray, Qwam, Kuta, Siday, Tlawi, Masqaroda, Diyomati, Bashay, Dongobesh, Tumati, Mongahay, Endoji, Bashnet, Gidhim, Maretadu, Gibdiyo, Gidmadoy, Gidarudadaw, Simhha, Haydrer, Semonyandi, Mewadani, Musru, Endagikot, Endaharghadakt, Endamasaki, Endamilay, Endanachan, Endanyawish, Erboshan, Ngw'andakw, Yarotamburda, Qatabella, Qamatananat, Qambush, Datlaa, Dumanangw, Endagew, Muguruchan, Maghang, Haydom mpaka kule Murkuchida ni wao tu. Pia kule Yaeda chini na Mungowamono kwa Wahadzabe wapo wachache.

Naas loale!!..karibu Bassotu ziwani!!
 
Ni kweli kabisa Mkuu DA'AWI inatutafuna vibaya, Ukiacha kabila kupotea, Ukweli ni kwamba Asili au tamaduni zimeshapotea, Maeneo mengi vijana wamechanganyika sana, ni sehemu chache sana ambazo bado wanaheshimu mila na tamaduni. Sehemu kama Iriqwada'au kule milimani maeneo ya Mbulu ni kati ya sehemu chache ambazo bado hazijaharibika. Kuhusu DA'AWI ngoja tuwasubiri akina Afrodenzi, dena Amsi na wengine watueleze vizuri.

Hata mi nina dem wangu muiraq aisee ninampendaje? Ananipendaje? Acha 2!
 
Hivi jamani Wairaq si ndio hao hao Wambulu? Yaani akina Slaa. Nadhani kuna mambo wanayotofautiana kutokana na upande wanaotoka au imani kalina lugha yao ni moja, hebu nielewesheni!

hivi slaa kumbe ni mwalabu wa Iraq???? CHADEMA KUMBE NDIYO INAYOTAKA KUWARUDISHA WAALABU , HII HATARI
 
Kuna uwezekano mkubwa wa kabila la Kiiraqw lilopo mkoa wa manyara kupotea kabisa au asili ya watu hawa kupotea kabisa siku za mbeleni. na hasa ukizingatia na udogo wa kabila lenyewe. Hii ni kutokana na sheria zao kali za kimila zinazoweka mazingira magumu sana ya wenyewe kwa wenyewe kuoana na kusababisha asilimia kubwa ya watu kulazimika kuoa au kuolewa na makabila mengine, sisemi kama kuna ubaya kuoa au kuolewa na makabila mengine. Katika hili kabila kuna kitu kinaitwa DAWI, maana ya DAWI ni uhusiano wa kikoo au kidamu kati ya watu wawili, hata kama ni kitukuu wa kitukuu ambaye Bibi yake ni ukoo wako basi huwezi kumuoa au kuolewa naye kwasababu atakuwa ni DAWI yako. Sasa kutokana na udogo wa hili kabila vijana wengi walioanzisha uhusiano wamejikuta wameingia kwenye huo mtego na kushindwa kuoana.

lakini wanazaa wao kwa wao hata kama hawajaoana sio?
 
Hakuna mtu mwenye asili ya Tanzania. Wairaqw wanaaminika ndio waliohamia East Africa mapema zaidi kuliko makabila mengine ya Kibantu na nilotes na kwamba waliwakuta Bushmen(Khoisan speaking tribes like Hadza and tsandawe). For your information, Tanzania (mainly Manyara Region) is the only place in the continent where the four major African language families - Bantu, Khoisan, Cushitic, and Nilotic - occur together. Iraqw is the only tribe of Cushitic origin in the region as they grew totally isolated from their original Cushitic cluster who settled in Horn of Africa and southern Kenya. By no means kabila hili itakuja potea if it survived for so long...
 
Back
Top Bottom