Kabila Joseph ulingoni tena kwenye siasa za uwazi za Congo DR.Hii imekaaje kwa mustakabali wa taifa hili chini ya utawala mpya wa Rais Tshekedi?

Rabonn

JF-Expert Member
Nov 7, 2018
5,704
10,877
Wakuu salaam.
Nasubiri kwa hamu kusikia wakubwa zangu
mtu chake
zitto junior
mng'ato
Na wengine wadau wa siasa za maziwa makuu mngesema neno kuhusu kurejea kwa Kabila Joseph kwenye seneti ya Congo hasa ukizangia tetesi kwamba na uhusiano wake na rais Tshekesi kwa sasa hauko imara sanA.

Na kama kumeanza kuwa na chokochoko za "adjustment ya katiba" ya congo ili rais achaguliwe bungeni badala ya utaratibu unaotumika kwa wananchi kumchagua rais wao.

Huyu bwana hawez aka influence mabadiliko ya kumrudisha kwenye kiti cha enzi kwa mara nyingne??....

Wanasema ukionja nyama ya mtu katu hutaacha kuila.
Ndio maana kwa walioishi kando ya mbuga (na refer Ruaha national park), wanasema ilikua ikitokea simba kavamia kijiji akala mtu , bas dawa ni lazima huyu kiumbe spefically lazima auawe vinginevyo atarud tena kwenye maboma ya watu kufanya kweli tena kwa mara nyingine na kusababisha madhara.

MZEE BABA KAREJEA TENA kwa namna fulan kwenye siasa za congo na hasa ukizingatia ushawishi alio nao, mnadhan haiwezi ika chochea mabadiliko kwa mwelekeo wa siasa za Congo.

Nawasilisha!!!! Karibun kwa mitazamo yenu.
 
Siasa za Congo ni ngumu sana
Hakika.It seems utaratibu na katiba yao ina randana sana na ile ya France ambapo wao Rais mstaafu anarud kuwa sehemu ya baraza la katibu (kama sio sijakosea) wakati hawa wenzetu Rais anarud kuwa Senetor "wa maisha". Nikajiuliza kwa ugumu wa siasa zao na kwa nature ya viongozi wa kiafrika, hii haiwez ikaleta mkanganyiko!?
 
Kwani Karejea vipi??
20200915_195142.png
 
Karejea bungeni kama life time senetor according BBC
Mkuu siasa za DRC ni complicated unaweza dhani A kumbe ni B. Mfano huko Ituri ana dhamini makundi ya Waasi kwa wazi kabisa.

Upande wa pili Fatshi amepunguza masalia ya Kabila kwenye kitengo. Kuanzia yule mkuu wa counter intelligence mpaka ''TISS'' yao kina Mutond, hadi majenerali. So kuna confusion kiasi.

Ila ilitazamiwa kwamba Kabila bado ni power nyuma ya kiti cha Rais ni wachache walitegemea Fatshi atafurukuta kwenye ushawishi wa Kabila. Na mwisho wa siku who knows anaweza zidi au kuzidiwa kete kulingana na alivyojipanga.
 
Mkuu siasa za DRC ni complicated unaweza dhani A kumbe ni B. Mfano huko Ituri ana dhamini makundi ya Waasi kwa wazi kabisa.

Upande wa pili Fatshi amepunguza masalia ya Kabila kwenye kitengo. Kuanzia yule mkuu wa counter intelligence mpaka ''TISS'' yao kina Mutond, hadi majenerali. So kuna confusion kiasi.

Ila ilitazamiwa kwamba Kabila bado ni power nyuma ya kiti cha Rais ni wachache walitegemea Fatshi atafurukuta kwenye ushawishi wa Kabila. Na mwisho wa siku who knows anaweza zidi au kuzidiwa kete kulingana na alivyojipanga.

Mkuu, kitu cha kujiuliza kwanza Ituri inapakana na Nchi gani - kwa nini adhamini wazi wazi waasi - kama mnafikiri vurugu za waasi lengo lao ni la kisiasa ndani ya taifa la DRC - you are dead wrong, FYI lengo lao ni tofauti kabisa, wanatumika na kuwa funded from outside DRC for hidden agenda.
 
Nimemsikiliza mh.Kabila akiwa Seneta Mpya....

BUNGE limeendelea kuiona NGUVU YAKE NA USHAWISHI MKUBWA mpaka Kufikia mwenyewe kusema;anatamani kuwa SENETA WA MILELE....

Kabila anaijua vyema Congo..tunatumai Atashirikiana na Rais Tshisekedi Kuwafurusha Wale Magaidi wa ADF NALU kutoka Kule Misitu Ya Virunga....

Japo Yeye Binafsi Alishindwa kuwamaliza..Basi hiki ni kipindi Mujarabu washirikiane na Serikali Mpya kuwapatia ufumbuzi Wakongomani hao,wanaoteswa na vikundi vyenye uchu wa Raslimali ardhi,Raslimali Misitu na Raslimali PENDWA Madini....
 
Mkuu siasa za DRC ni complicated unaweza dhani A kumbe ni B. Mfano huko Ituri ana dhamini makundi ya Waasi kwa wazi kabisa.

Upande wa pili Fatshi amepunguza masalia ya Kabila kwenye kitengo. Kuanzia yule mkuu wa counter intelligence mpaka ''TISS'' yao kina Mutond, hadi majenerali. So kuna confusion kiasi.

Ila ilitazamiwa kwamba Kabila bado ni power nyuma ya kiti cha Rais ni wachache walitegemea Fatshi atafurukuta kwenye ushawishi wa Kabila. Na mwisho wa siku who knows anaweza zidi au kuzidiwa kete kulingana na alivyojipanga.
Basi Kabila naye alimu anderweigh jamaa kama aliamin hata furukuta.
Power ni kitu kingine hata kama yeye ndio alimpa (kama inavyodaiwa).
Kwa misukosuko aliyopitia dingi ake wa huyu rais Tshekedi chini ya utawala wa kabila mpaka mauti yanamkuta, Joseph kabila hakupaswa hata kidogo kufikiri atam manage Fatshi.Isingewezekana.Je ni miscalculation alifanya au aliamua kuupuzia uhalia wa mambo anakuja kushtuka mambo si mambo?

Anyway, kwa mtazamo wangu, Rais Tshekedi, bado hajamaliza kazi ya kum neutralize Kabila ,bado..ana kaz kubwa tu ya kufanya na hasa ukizingatia hiv sasa ambapo ameingia bungeni.Asilale, awe naplan B ya kukabiliana na tishio la Kabila.

Pia , mara nyingi rais anapostaaf, ni kama anakua kastaafu siasa kwa ujumla, endapo katiba haimrusu kujishughulisha na majukumu ya kitaifa openly n legally.

Lakin kwa hili la Kabila kurudi bungeni ka seneta, inampa mamlaka ya kugain influence so mbali na zile siasa za chini kwa chini za hila na vificho, jamaa naona ataitumia kuweka mtandao wake kwa namna nyingine ambao unaweza kumpa tabu Rais Tshekedi
 
Issue kama hizi zinasumbua sana ... ndomaana kamati ya Burundi ikaona isiwe tabu Nkurunzinza kapumzishwa
Ahaahahaha..True mkuu
Unapokaa kwenye nafasi ya kiuongozi ambayo mtangulizi wako ameitengenezea historia, lazima utakuwa frustrated saana maana watu watamtumia mtanguliz wako kama bench mark kupima uwajibikaji wako.
So kumuondoa jamaa ilikua ni option ambayo hata mimi nisingeikataa.😁
 
Fanyeni tafiti za kina kuhusu asili ya kweli ya Kabila ndio mtajua kinacho endelea nyuma ya pazia - Wakongomani wanapaswa kuwa makini sana.
Tufungue macho mkuu japo kwa uchache kwa yale unayoyafaham
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom