Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Wakurya Bwana!!Sasa umkute anasema Tumefiwa,atasema Tumefir..wa
Kuna mkurya baada ya kunusurika kwenye ajali ya basi akawa anawasimulia rafiki zake "Mora ire ajari ilinivanya nikawabhikiri bhatoto bhangu , nikambhiri na mama yao".
 
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
Tanga yote except Wasambaa.
 
Wasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
Hawa ndiyo nadhani mojawapo ya makabila yanayochangia kuharibu kiswahili mf maneno ya siku hizi: Mimi sipendi masihara-Mimi SIPENDAGI masihara.
Mimi nachoka kusikia tabia hizi-Mimi NACHOKAGA kusikia tabia hizi.
Nadhani tuwaachie watu wa Pwani,nadhani hata watoto wetu tuliozalia Pwani wanazungumza kiswahili chenye lafudhi nzuri kuliko sisi wa bara!
 
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
wachagga
 
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
Kabila la walafuzi ndo Wana lafudhi nzuri
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom