Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Niliwahi kusikia Wamanyema wa Ujiji na kule Tanga mjini, Lindi na Pwani ila siku hizi Watanzania wengi wanaongea Kiswahili chenye lafudhi nzuri sana ukiondoa wale walioshindikana kwenye “l” “r” “ng’” na “ng’”
 
Back
Top Bottom