Kaamua tukapime,yeye ndo kakutwa POSSITIVE.

eddy brown

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
413
310
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?
 
Dah! Taabu kweli kweli, ila kama umeshashtukia ni afadhali mtakuwa makini zaidi!

Ukweli niujua kuhusu ngono ni kuwa ni heri utembee na mtu usiemwamini kuliko kutembea na unayemuani! USipomuani mtu kinga ni lazima, ila ukiwa na kademu uakaa nako 3month ukaanza kujenga uaminifu kinachofuatia manjanga!
Kwa hiyo ingawa ni ngumu kuwa na mtu aliyeathirika ila believe me ni bora mara mia kuwa naye huyo kuliko kuanza mchezo wako kwa demu mwingine
 
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?

Poleni wote.Nakushauri urudie kupima baada ya miezi mitatu,usimnyanyapae sana kwani huwezi jua kwa sasa

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Pole sana mkuu vuta subra tena huenda nawewe ukawa tayari uko POSITIVE nenda karudie kupima bAada ya miez 3 wewe na huyo mwenza wako......wala usimuache gandana nae huyo huyo usiharibu kwingine!!!!!!!

Pole saana
 
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?

Pole sana. Kwa vipimo vya Tanzania, subiri tena upime baada ya miezi mitatu!
Ukiwa "safi" sikushauri kuendelea na huyo mwenzako! Uwezekano wa kukuambukiza virusi ni mkubwa!

Hivi, umeshafahamu mwenzi wako ana virusi halafu bado mashine inasimama kwake, au hamu inakujia juu yake?

Majanga!
 
point ya muhimu ni kwenda kupima tena baada ya miezi 3..ukiwa neg naomba umuache...ukiwa positive please baki naye mana hakuna HIV mpya.
 
ukute na wew unayo au utapata,usinyoshe vidole..any1 can get HIV

I dont think i pointed fingers there...what i meant is jamaa ana ujasiri,for me hata nikiwa + sina ujasiri wa kutembea na mtu alie salama!!!got my point?
 
Ulimuahidi kuto kumuambia mtu.
Kwahiyo jf hakuna watu?
Unaowaomba ushauri sio watu?
Kwanini umeamua kuvujisha siri uloahidi kuitunza?

Tuanze na hapo kwanza
 
Una moyo kutembea nae huku unajua ni muathirika,duu una moyo kama wa simbaa wallahi
 
Aisee........nikisikia hizi ishu huwa naogopa sana

Mara ya mwisho mimi kupimaga hii kitu kuna contract ya kazi nilipata ughaibuni na medical examination ilikuwa ni lazima, nikasalimika

Lakini kwa hiyari yangu bila kuumwa nchi hii mimi bado hujanipisha vipimo vya hiyo kitu.

Tangu ule mkasa wa Agha khan hospital walipovunja uchumba wa watu kwa wao kutotoa vipimo sahihi kwa kweli sipimi ng'o nchi hii.
 
Mara ya mwisho mimi kupimaga hii kitu kuna contract ya kazi nilipata ughaibuni na medical examination ilikuwa ni lazima, nikasalimika

Lakini kwa hiyari yangu bila kuumwa nchi hii mimi bado hujanipisha vipimo vya hiyo kitu.

Tangu ule mkasa wa Agha khan hospital walipovunja uchumba wa watu kwa wao kutotoa vipimo sahihi kwa kweli sipimi ng'o nchi hii.

hahahaaaaa hiyo ishu ya Agha khan nimewahigi kuisikia...........

mie niliendaga ila kitambo kidogo na sa hivi nna mpango wa kwenda ila naogopaje........
 
hahahaaaaa hiyo ishu ya Agha khan nimewahigi kuisikia...........

mie niliendaga ila kitambo kidogo na sa hivi nna mpango wa kwenda ila naogopaje........

Ya nini kujitia pressure za bure, utapima pale inaporadhimu au ukiwa na ujauzito, au huna plan ya kuzaa?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom