Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 391
Kijana mmoja baada ya matokeo yake ya kidato cha nne kuwa mabaya sasa ameamua kwanza kwenda kujifunza kiingereza nchini Uganda ili baadae aje arudie mitihani yake. Najiuliza hivi elimu yetu iko sawa kweli maana kule Uganda atafundishwa basic english sawa na mtu ambaye hajaenda shule.