Kaamua kwenda kujifunza kiingereza Uganda

Sunshow

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
1,140
391
Kijana mmoja baada ya matokeo yake ya kidato cha nne kuwa mabaya sasa ameamua kwanza kwenda kujifunza kiingereza nchini Uganda ili baadae aje arudie mitihani yake. Najiuliza hivi elimu yetu iko sawa kweli maana kule Uganda atafundishwa basic english sawa na mtu ambaye hajaenda shule.
 
Ni bora kiingereza kiwe lugha ya taifa kuliondolea taifa fedheha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom