I lived with my husband before hatujaoana.Nilipenda alivyokuwa anaishi na mimi tukaoana .Huku USA kumove in ni kawaida usiogope it's your life take charge.My friend alikuwa hajawahi kuishi na mume wake baada ya ndoa alivyohamia yaani mume wake mvivu,mlevi na yaani anarudi alfajiri .Hii ni ndoa ya miezi 6 ,shoga angu huyu anakaa state nyingine .sijui cha kumshauri alikuwa na maisha mazuri kabla la huyu mkaka.