Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Sijui kwanini kila kitu Tanzania uwa kinafanyika kwa mihemko au nguvu za soda?
Nakumbuka lilikuja suala la usafi ambapo kila Jumamosi watu tulitakiwa fanya usafi na takataka kuwekwa barabarani kisha gari za taka ziwe zinapita na kuuondoa.
Wazo lilikuwa zuri ila tatizo likaja kwamba gari hazipiti uchafu unatapakaa na mwingine kuingia kwenye njia za maji za barabara.
Basi ikabadirishwa ikawa kwamba kila kaya itakusanya uchafu na gari likipita ndipo upelekwe barabarani.
Lakini huku kwetu Tegeta imepita zaidi ya mieizi mitatu hakuna hata gari linalopita.
Nahisi hilii suala lilikuwa kick tu kwisha habari yake.
Tanzania hakuna jambo linaloweza kuwa endelevu uwa mambo mengi nguvu ya soda tu halafu muda ukipita ni business as usual.
Hatuwezi kuendelea katu kwa style hii.
Nakumbuka lilikuja suala la usafi ambapo kila Jumamosi watu tulitakiwa fanya usafi na takataka kuwekwa barabarani kisha gari za taka ziwe zinapita na kuuondoa.
Wazo lilikuwa zuri ila tatizo likaja kwamba gari hazipiti uchafu unatapakaa na mwingine kuingia kwenye njia za maji za barabara.
Basi ikabadirishwa ikawa kwamba kila kaya itakusanya uchafu na gari likipita ndipo upelekwe barabarani.
Lakini huku kwetu Tegeta imepita zaidi ya mieizi mitatu hakuna hata gari linalopita.
Nahisi hilii suala lilikuwa kick tu kwisha habari yake.
Tanzania hakuna jambo linaloweza kuwa endelevu uwa mambo mengi nguvu ya soda tu halafu muda ukipita ni business as usual.
Hatuwezi kuendelea katu kwa style hii.