Ka ghetto ka MASTA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,333
383410_355053581247258_1252845513_n.jpg
 
yaani hawa watu ni mungu tu huwa anawalinda hizo nyumba zina vidirisha vidoooogo kweli hamna hewa ukimwengiza hapo mtoto wa DSM anafia huko hatoki nakwambia ni mungu tu huwa anawalinda na maradhi yote
 
mi ndo maana sikubaliani na wanaosema kunakiama cha moto,yaani niishi mahali kam hapo maisha yangu yote uje kuniambia rizwani kikwete anaenda peponi na mimi motoni?
yaani huyo mungu atakuwa katili kiasi gani?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom