ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,037
- 6,288
Bahati mbaya mzee Mengi hakua mwanamuziki labda angempa mkewe support kwenye hiyo industry. Pia inawezekana marrying a billionaire was more of a prized asset kwa kylin kuliko kuendelea na uimbaji.Failure to appreciate arts is a diabolical syndrome which fractures Africans' creativity and financial success..
Beyonce ni mke wa Bilionea mwenye hela kuliko Marehemu, lakini hajaacha kuimba mpaka leo....
Angetumia vizuri jina la mume wake angefika mbali kwenye tasnia ya muziki huko duniani....