Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,292
- 33,902
Mzee Reginald Mengi ndiyo keshaondoka duniani na Mke wake Jacqueline Ntuyabaliwe kabakia kutunza familia yao.
Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama Jacqueline ataweza kutunza hali ya ufanyabiashara na matumizi ya Fursa aliyokuwa nayo Mzee Mengi.
Hapa ndipo tutaona zaidi ya Uzuri wa kimaumbile wasichana warembo wa Tanzania wana nini kingine cha ziada. Kama matumizi yakizidi mapato basi si muda Magazeti ya udaku ndiyo yatakuwa chanzo cha Mapato kwa Jacqueline.
Maisha baada ya Kifo cha Mzee Mengi ndiyo yatatoa picha halisi kama Jacqueline ni mtu wa kula bata ama ni mtafutaji maisha!!
Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama Jacqueline ataweza kutunza hali ya ufanyabiashara na matumizi ya Fursa aliyokuwa nayo Mzee Mengi.
Hapa ndipo tutaona zaidi ya Uzuri wa kimaumbile wasichana warembo wa Tanzania wana nini kingine cha ziada. Kama matumizi yakizidi mapato basi si muda Magazeti ya udaku ndiyo yatakuwa chanzo cha Mapato kwa Jacqueline.
Maisha baada ya Kifo cha Mzee Mengi ndiyo yatatoa picha halisi kama Jacqueline ni mtu wa kula bata ama ni mtafutaji maisha!!