Elections 2010 JWTZ waanza mazoezi ya machafuko

We Know Next

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
814
380
Ndugu wanzegu wa JF na watanzania wote kwa ujumla wenu, yale yaliyosemwa sana kwamba JWTZ wanawekwa chonjo ktk uchaguzi huu, ni ya kweli tu. Nimeshuhudia kwa macho yangu pale Lugalo jeshini mida hii ya saa saba na nusu mchana, wanajeshi wa JWTZ walikuwa wanajifua pale ktk viwanja vyao. Nimesema hivyo kwasababu zana walizokuwa nazo ni zile zana ambazo hutumika kutuliza ghasia, kama vile virungu, ngao, machela na mabomu ya machozi. Nimewaona wakiwa na zana mpya kabisa, ukiziona zile ngao zao ni rangi ya silver, zinawaka kwelikweli. Nadhani yaliyosemwa si bure. Bila shaka vikosi vyote vitakuwa na zoezi kama hilo hapa nchini.
 
Dr. slaa kashasema vurugu zitaanzishwa na CCm na vikundi vyake. Kwa hiyo si ajabu,
Lakini lazima waumbuke mwaka huu
 
Ndugu wanzegu wa JF na watanzania wote kwa ujumla wenu, yale yaliyosemwa sana kwamba JWTZ wanawekwa chonjo ktk uchaguzi huu, ni ya kweli tu. Nimeshuhudia kwa macho yangu pale Lugalo jeshini mida hii ya saa saba na nusu mchana, wanajeshi wa JWTZ walikuwa wanajifua pale ktk viwanja vyao. Nimesema hivyo kwasababu zana walizokuwa nazo ni zile zana ambazo hutumika kutuliza ghasia, kama vile virungu, ngao, machela na mabomu ya machozi. Nimewaona wakiwa na zana mpya kabisa, ukiziona zile ngao zao ni rangi ya silver, zinawaka kwelikweli. Nadhani yaliyosemwa si bure. Bila shaka vikosi vyote vitakuwa na zoezi kama hilo hapa nchini.

Hiyo ndiyo kazi yao. Wanao wajibu wa kusaidia polisi pale ambapo watazidiwa. Iwapo watahitjika kufanya hivyo halafu ikatokea hawapo tayari tutawashangaa!! Katiba ya nchi na sheria ya usalama wa nchi zinawataka wawe tayari kwa hilo. Hivyo inatakiwa wana JF na wananchi kwa ujumla tuwasifu kuwa wako makini na wanajua wajibu wao. Au unataka walale tu halafu baadaye uwalaumu? Tusichangaye suala la ulinzi wa nchi na siasa !!!!. Kila mtu atimize wajibu wake, wewe kapige kura 31/10, ndio wajibu wako.
 
ndugu wanzegu wa jf na watanzania wote kwa ujumla wenu, yale yaliyosemwa sana kwamba jwtz wanawekwa chonjo ktk uchaguzi huu, ni ya kweli tu. Nimeshuhudia kwa macho yangu pale lugalo jeshini mida hii ya saa saba na nusu mchana, wanajeshi wa jwtz walikuwa wanajifua pale ktk viwanja vyao. Nimesema hivyo kwasababu zana walizokuwa nazo ni zile zana ambazo hutumika kutuliza ghasia, kama vile virungu, ngao, machela na mabomu ya machozi. Nimewaona wakiwa na zana mpya kabisa, ukiziona zile ngao zao ni rangi ya silver, zinawaka kwelikweli. Nadhani yaliyosemwa si bure. Bila shaka vikosi vyote vitakuwa na zoezi kama hilo hapa nchini.

Haya ni mazoezi ya kawaida tu wanajiandaa kusimamia usalama wa raia wakati wakupiga kura. Nenda kapige kura yako uko salama kabisaaaa cku hiyo!
 
Hii thread haina maana sana wakati huu. Hawa wanajeshi wetu wako kwenye mazoezi ya kawaida kabisa na wala hayana uhusiano sana na uchaguzi. Hawa muda wote wanatakiwa wawe wenye utayari, sasa hapo ni kujaribu kuwakumbusha baadhi ya techniques za kupambana na ghasia. Hii haina maana kuwa uchaguzi utakuwa na ghasia. Habari kama hii kwa sasa ni kutaka kutisha watu, hivyo ninafikiri si busara sana kuindeleza hapa. Cha msingi ni kuwaacha watu wakachague viongozi wao kwa uhuru na haki bila kuwaandikia habari za vitisho. Hizi ni habari za magazeti kama mtanzania, Uhuru na Jamboleo. Kwa ushauri tu ni bora kuwapuuza watu hawa kuliko kuwapaisha. Asanteni sana
 
Kama ni wajibu wao kusaidia polisi pale polisi wanapozidiwa kwa nini iwe mwaka huu, miaka ya nyuma aghaaaa.Sisi tunasema hatuogopi kwani uoga wetu ndio umasikini wetu.
 
Hii thread haina maana sana wakati huu. Hawa wanajeshi wetu wako kwenye mazoezi ya kawaida kabisa na wala hayana uhusiano sana na uchaguzi. Hawa muda wote wanatakiwa wawe wenye utayari, sasa hapo ni kujaribu kuwakumbusha baadhi ya techniques za kupambana na ghasia. Hii haina maana kuwa uchaguzi utakuwa na ghasia. Habari kama hii kwa sasa ni kutaka kutisha watu, hivyo ninafikiri si busara sana kuindeleza hapa. Cha msingi ni kuwaacha watu wakachague viongozi wao kwa uhuru na haki bila kuwaandikia habari za vitisho. Hizi ni habari za magazeti kama mtanzania, Uhuru na Jamboleo. Kwa ushauri tu ni bora kuwapuuza watu hawa kuliko kuwapaisha. Asanteni sana

Kwa tetesi zizizopo ni kuwa siku ya uchaguzi hawa wanjeshi wanavaa Gwanda za FFU kwa hiyo ni vigumu kuwagundua.
 
Kwa tetesi zizizopo ni kuwa siku ya uchaguzi hawa wanjeshi wanavaa Gwanda za FFU kwa hiyo ni vigumu kuwagundua.
HII KALI!
Watadhalilika, maana hakuna atakaeleta fujo, kazi ni moja kuimwaga ccm!
 
Ndugu wanzegu wa JF na watanzania wote kwa ujumla wenu, yale yaliyosemwa sana kwamba JWTZ wanawekwa chonjo ktk uchaguzi huu, ni ya kweli tu. Nimeshuhudia kwa macho yangu pale Lugalo jeshini mida hii ya saa saba na nusu mchana, wanajeshi wa JWTZ walikuwa wanajifua pale ktk viwanja vyao. Nimesema hivyo kwasababu zana walizokuwa nazo ni zile zana ambazo hutumika kutuliza ghasia, kama vile virungu, ngao, machela na mabomu ya machozi. Nimewaona wakiwa na zana mpya kabisa, ukiziona zile ngao zao ni rangi ya silver, zinawaka kwelikweli. Nadhani yaliyosemwa si bure. Bila shaka vikosi vyote vitakuwa na zoezi kama hilo hapa nchini.


wameshiba uji wa bure hao..mazoezi wamfanyie nani..Si waende Afganistan kama wao vidume....
 
nimeambia jina langu lipo kwenye list so kesho naelekea MWanza kwa ajili ya kupiga kura kwa dk wa ukweli hon. W.P.S

mwaka huu sitanii na wala siangalii kundule
 
Sidhani kama haya mazoezi ni ya kawaida. Tuache kuuhadaa umma. Ukweli ni kwamba JK anajua ni nini atakachokifanya mwaka huu na anajua kwamba watanzania hawatakubali. Iweje mazoezi ya kawaida yashirikishe hadi kujaribisha king'ora cha kutangazia hali ya hatari? Kama tangu wakati wa Nyerere hadi leo hawakuwa kukijariibisha hicho king'ora iweje wafanye hivyo leo? Na swali lingine, ni je huu ndo uchaguzi wa kwanza kufanyika Tanzania? Mbona hizo chaguzi nyingine zote hatukusikia kwamba wanajeshi wanajiandaa kusaidia polisi? Naona CCM mwaka huu mmeamua kwa dhati kabisa kumwaga damu zetu.
 
wananchi wakiamua... wameamua... !! CCM wakishindwa watafanya TZ isiwe kisiwa cha mani tena!!
 
Mambo kama haya siyo ya kupuuzia. We fikiri wana rungu, mabomu ya machozi na ngao, nijuavyo hivi vifaa hutumiwa na polisi na kama kazi inahitaji jeshi huwa lazima wachukue silaha nzito zaidi. Ieleweke kwamba Polisi wakishindwa na kama adui ana silaha za Moto ndipo jeshi linapotumika. sasa inakuwaje wanafanya mazoezi yanayofanana na yale ya jeshi la polisi. katika hali kama hii lazima tushtuke na si jambo la kusema kirahisi tu kwamba tunawatisha watu
 
Kwa tetesi zizizopo ni kuwa siku ya uchaguzi hawa wanjeshi wanavaa Gwanda za FFU kwa hiyo ni vigumu kuwagundua.

Mimi nafarijika maana hawatapigia CCM kura maana watakuwa kazini.


MIMI DR.WILBROAD SLAA NAAPA KUILINDA NA KUITETEA KATIBA YA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA. NITAANZA KWA VITENDO NA MAFISI WOTE!!!! EE MUNGU NISAIDIE!:doh:
 
Most wananchi have made up their Minds, They are going to Vote CCM Out. It does not matter whether TPDF are exercising or Not.

Nadhani wanajiandaa kukabiliana na vurugu zinazoweza kutokea wakati wa kuapishwa zitakazowezafanywa na wanachama wa chama kikuu cha Upinzani CCM

Mwaka Huu Mchele na Chuya vitajitenga.!!!
 
Jeshi ni nini? Jeshi hilo lipo kwa ajiri ya nani? mbona mnaogopa ogopa? we amka asubuhi piga kura yako then tusibiri matokeo. Hayo majeshi yatariport kwa yeyete atakayeshinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom