TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari Wana JF,
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya na bado tunaendelea na harakati za kupambana na adui yetu Corona kwa kudhingatia ushauri wa wataaramu.
Kwanza baina ya yote nitoe pongezi kwa majeshi yetu ya ulinzi na usalama nchini kwa juhudi za kulilnda na kulitetea Taifa letu.
Lakini mbali ya yote ni toe pongezi kubwa kwa jeshi la JWTZ na JKT hawa kwa siku hizi wamekuwa na mchango mkubwa sana kwa Taifa na wananchi tumekuwa na imani nao sana kwa 200% hawajawai kutuangusha, ili jeshi limekuwa lakujivunia kwa kweli.
Vita dhidi ya Corona ni ya waTanzania wote lakini binafsi nina mtazamo kama hili jeshi JWTZ na JKT wakaongoza haya mapambano hususa kule maeneo ya mipakani tutafanikiwa sana kuzuia wahamiajai haramu ambao wanaweza kuja kueneza maambukizi, katika mipaka kumekuwa na baadhi ya raia sio wazalendo wanaweza tumia hata bodaboda au lori kusafirisha wageni kuingia kiholela, ila mbele ya baka baka nani hatasubutu ujinga huo.
Huko Uganda kuna kesi za Wachina kutumia Martial Arts kusepa karantini ila mbele ya wajeda Mchina lazima akae na vi Kung Fu vyake.
Mwisho nimalizie kwa kusema JWTZ na JKT hawaongeki hata kwa vipande vya dhahabu.
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya na bado tunaendelea na harakati za kupambana na adui yetu Corona kwa kudhingatia ushauri wa wataaramu.
Kwanza baina ya yote nitoe pongezi kwa majeshi yetu ya ulinzi na usalama nchini kwa juhudi za kulilnda na kulitetea Taifa letu.
Lakini mbali ya yote ni toe pongezi kubwa kwa jeshi la JWTZ na JKT hawa kwa siku hizi wamekuwa na mchango mkubwa sana kwa Taifa na wananchi tumekuwa na imani nao sana kwa 200% hawajawai kutuangusha, ili jeshi limekuwa lakujivunia kwa kweli.
Vita dhidi ya Corona ni ya waTanzania wote lakini binafsi nina mtazamo kama hili jeshi JWTZ na JKT wakaongoza haya mapambano hususa kule maeneo ya mipakani tutafanikiwa sana kuzuia wahamiajai haramu ambao wanaweza kuja kueneza maambukizi, katika mipaka kumekuwa na baadhi ya raia sio wazalendo wanaweza tumia hata bodaboda au lori kusafirisha wageni kuingia kiholela, ila mbele ya baka baka nani hatasubutu ujinga huo.
Huko Uganda kuna kesi za Wachina kutumia Martial Arts kusepa karantini ila mbele ya wajeda Mchina lazima akae na vi Kung Fu vyake.
Mwisho nimalizie kwa kusema JWTZ na JKT hawaongeki hata kwa vipande vya dhahabu.