Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Mod,unaweza kuiweka hii mahala inapofaa.
Nimeshtushwa na taarifa katika habari ifuatayo kwamba Jenerali Robert Mbona alikuwa mwanachama wa CCM tangu mwaka 1981.Labda sielewi vizuri kuhusu sheria inayowakataza watendaji wa vyombo vya dola kujihusisha na siasa (apart from kupiga kura) lakini nadhani hii haijakaa vizuri.Hebu soma extract hii hapa,then tujadili zaidi
Sasa kama Mboma alikuwa mwanachama wa CCM wakati akiwa Mkuu wa Majeshi,hii haikuathiri utandaji wake wa kazi kwa namna moja au nyingine?Au ali-suspend uanachama wake katika kipindi cha utumishi wake then aka-renew baada ya kustaafu?Ikumbukwe hapa tunjamzungumzia kiongozi wa juu kabisa wa jeshi letu.
Halafu vyama vya upinzani vinapolalamika kuhusu matumizi mabaya ya vyombo vya dola kwa manufaa ya CCM vinaambiwa havina hoja za msingi.Pengine hii ni wake up call kwa vile kuna uwezekano kwamba hata akina Mwema et al nao ni wana-CCM.
As I mentioned earlier,sina ufafanuzi mzuri wa kisheria kuhusiana na ishu hii.
Nimeshtushwa na taarifa katika habari ifuatayo kwamba Jenerali Robert Mbona alikuwa mwanachama wa CCM tangu mwaka 1981.Labda sielewi vizuri kuhusu sheria inayowakataza watendaji wa vyombo vya dola kujihusisha na siasa (apart from kupiga kura) lakini nadhani hii haijakaa vizuri.Hebu soma extract hii hapa,then tujadili zaidi
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbeya Vijijini umemchagua, Mchungaji Gaston Ndaga Mwanjale, kuwania ubunge katika Jimbo la Mbeya Vijijini, lililoachwa wazi na Marehemu Richard Nyaulawa aliyefariki dunia.....Akizungumzia matokeo hayo, Mboma, aliyeibuka wa pili, alisema yeye ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1981 na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali za chama.Alisema yuko tayari kutoa ushirikiano wa kumnadi mgombea aliyepitishwa kwa ajili ya kupeperusha bendera ya chama hicho...
Sasa kama Mboma alikuwa mwanachama wa CCM wakati akiwa Mkuu wa Majeshi,hii haikuathiri utandaji wake wa kazi kwa namna moja au nyingine?Au ali-suspend uanachama wake katika kipindi cha utumishi wake then aka-renew baada ya kustaafu?Ikumbukwe hapa tunjamzungumzia kiongozi wa juu kabisa wa jeshi letu.
Halafu vyama vya upinzani vinapolalamika kuhusu matumizi mabaya ya vyombo vya dola kwa manufaa ya CCM vinaambiwa havina hoja za msingi.Pengine hii ni wake up call kwa vile kuna uwezekano kwamba hata akina Mwema et al nao ni wana-CCM.
As I mentioned earlier,sina ufafanuzi mzuri wa kisheria kuhusiana na ishu hii.