The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 820
Wakuu Habarini za Asubuhi.
Nilikuwa naomba mwenye ufahamu kuhusu hiyo title hapo anijuze.
Je, Jeshi la wananchi wa Tanzania pamoja na Askari polisi nao huwa wana haki ya kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi?
Maana kuna kazi zingine najua huwa zina miiko yake na katika hili mimi nilikuwa nadhani hawapigagi kura kwenye uchaguzi mkuu wa kitaifa, lakini nilichokiona jana huku Zanzibar kimenifanya niulize swali hapa leo.
Nilikuwa naomba mwenye ufahamu kuhusu hiyo title hapo anijuze.
Je, Jeshi la wananchi wa Tanzania pamoja na Askari polisi nao huwa wana haki ya kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi?
Maana kuna kazi zingine najua huwa zina miiko yake na katika hili mimi nilikuwa nadhani hawapigagi kura kwenye uchaguzi mkuu wa kitaifa, lakini nilichokiona jana huku Zanzibar kimenifanya niulize swali hapa leo.