Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
Amani iwe kwenu Wakuu..!
Nimepenyezewa na mpashaji mmoja kuwa kuanzia leo trh 07 Dec 2015 Serikari imekabidhi jukumu la ulinzi wa Bandari ya Dsm kwa JWTZ, na kuwa tayari vijana hao wazalendo wamekalia maeneo nyeti. Plz, kwa yeyote aliyekaribu na maeneo hayo au chanzo huru kinachoweza kututhibitishia taarifa hizi atuwekee janvini.
#JPM ALIPO TUPO#
Nimepenyezewa na mpashaji mmoja kuwa kuanzia leo trh 07 Dec 2015 Serikari imekabidhi jukumu la ulinzi wa Bandari ya Dsm kwa JWTZ, na kuwa tayari vijana hao wazalendo wamekalia maeneo nyeti. Plz, kwa yeyote aliyekaribu na maeneo hayo au chanzo huru kinachoweza kututhibitishia taarifa hizi atuwekee janvini.
#JPM ALIPO TUPO#