wana jamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa JWTZ hawajatangaza nafas za magradutes hadi mda huu wakt vikos vyote tyar, ukiuliza utaskia wanachkua JKT, je jeshi halitaj wasomi au?
Wasomi hao hao ikitokea vita au misheni ya kivita wana kataa kwenda Au wanakimbia. Sasa katika kutibu Hilo wale graduate wote wanapitia jkt kwanza wanalima kwa jembe la mkono kwanza mpaka wanachanganyikiwa akili then Ndiyo baadae wanafanya usaili wa jwtz.sasa wewe subiria mteremko wa moja Kwa moja kama utapata.wanao jua wanapitia jkt huko huko baadae ndiyo wanakuja kuajiriwa na jwtz.wewe endelea kusubiri tu mpaka yesu atakapo rudi.
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
Andaa jeshi lako man.
Wasomi hao hao ikitokea vita au misheni ya kivita wana kataa kwenda Au wanakimbia. Sasa katika kutibu Hilo wale graduate wote wanapitia jkt kwanza wanalima kwa jembe la mkono kwanza mpaka wanachanganyikiwa akili then Ndiyo baadae wanafanya usaili wa jwtz.sasa wewe subiria mteremko wa moja Kwa moja kama utapata.wanao jua wanapitia jkt huko huko baadae ndiyo wanakuja kuajiriwa na jwtz.wewe endelea kusubiri tu mpaka yesu atakapo rudi.
ni sheeeeeedaaaahhh
Kama jeshi lingejua malengo yako ya kujiunga wasikuchukua.
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
watakuchkua ww tu muhanga mkubwa wa ajira
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
Hivi umegundua kuwa kadiri mtz anavyosoma ndyo pesa inakaa mbali naye? Ukizugwa na vyeti vyako utapoteza muda sana na utakuja kuhamaki muda umekutupa mkono. Kaa ungoje waite wasomi😂😂😂
Ni kweli mkuu umenigusa sana, nimegundua hapa Tz ukimaliza form four au ukipiga cheti ndo muda wa kutoka lakin ukisoma eti mpaka uwe na degree unakwisha kabisa. Jamaa niliomaliza nao form four wengine walienda kwenye majeshi, wengine kwenye ualimu, unesi, musitu, ndo wapo wanapiga mpunga sasa hiv lakin mimi niliyepongezwa kijijin eti nimeenda advanced level nipo tu kitaa sina hili wala lile ninaogopa hadi kurudi kijijini na umri ndo huo unasepa. Inauma sana aisee.