JWTZ kusambaza vitabu vya Kiada na Rejea kwa shule za msingi na sekondari nchi nzima.

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,445
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
Hakika jeshi halina kazi ya kufanya. Kusambaza vitabu kunafanywa na jeshi? Tunaomba ISS watupe hata Kombora huku ili Hawa wanajeshi wasio na kazi na wenye vitambi walau wapate shughuri za kufanya.
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
Isije kuwa Yale ya korosho John, tupe habari iliyokamilika Ili tuende sawa.
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
Safi sana,naipongeza serikali kwa hili.
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
😍
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
Upuuzi mtupu secta binafsi itashamiri vipi?
 
Waziri wa elimu Prof Ndalichako amesema Jeshi la Wananchi wa Tanzania litasambaza vitabu vya kiada na rejea vilivyochapishwa na Taasisi ya Elimu nchi nzima.

Msemaji wa jeshi amesema malori yote yameondoka leo yakiwa na shehena za vitabu hivyo kuvipeleka mashuleni kama walivyokubaliana na wizara ya elimu.

Source: ITV habari
Mungu ibariki Tanzania, hili ni jambo jema sana kwani kuna uhaba wa kutisha wa vitabu huko mashuleni hususani vya arts kwa upande wa sekondari.

Lakini kwa jicho la mbali (waelevu tu hapa ndo watanielewa), hili suala la kupelekwa vitabu na jeshi litaibua ari fulani, very chanya, kwa wanafunzi......wanafunzi wanaheshimu sana na kulipenda jeshi. Wataona, 'alaa, kumbe hii kitu elimu ni serious ee? Mpaka jeshi limo ndani?!!'
 
Hakika jeshi halina kazi ya kufanya. Kusambaza vitabu kunafanywa na jeshi? Tunaomba ISS watupe hata Kombora huku ili Hawa wanajeshi wasio na kazi na wenye vitambi walau wapate shughuri za kufanya.
Ni Jeshi la Wananchi na linafanyakazi ya kuwatumikia Wananchi, unatakaje? Unapaswa ubaki na akili zako zote kila unapokwenda
 
Hakika jeshi halina kazi ya kufanya. Kusambaza vitabu kunafanywa na jeshi? Tunaomba ISS watupe hata Kombora huku ili Hawa wanajeshi wasio na kazi na wenye vitambi walau wapate shughuri za kufanya.
Mkuu unafahamu majukumu ya jeshi wakati wa Amani ?
 
Hakika jeshi halina kazi ya kufanya. Kusambaza vitabu kunafanywa na jeshi? Tunaomba ISS watupe hata Kombora huku ili Hawa wanajeshi wasio na kazi na wenye vitambi walau wapate shughuri za kufanya.
Kwa mawazo yako wajua kombola lina macho litabagua wanajeshi na raia

Hao ISS wasikie tu wala sio wa kuwaombea
 
Jeshi likipewa kazi Kama hizi za kiraia sio mbaya kwakuwa pia linajipima kwenye uwezo wa deployment uko kwa ufanisi wa kiwango gani.
 
Hakika jeshi halina kazi ya kufanya. Kusambaza vitabu kunafanywa na jeshi? Tunaomba ISS watupe hata Kombora huku ili Hawa wanajeshi wasio na kazi na wenye vitambi walau wapate shughuri za kufanya.
Hujitendei haki mnama
 
Kwa mawazo yako wajua kombola lina macho litabagua wanajeshi na raia

Hao ISS wasikie tu wala sio wa kuwaombea
Wewe ndio Kilaza kweli. Kombora halina macho? Hivi unafikili Kombora linatupwa tupwa tu. Kuna Makombora yanaitwa GUIDED MISSILE,Yakitumwa Lugalo kale ka kambi kalikojaa vitambi eti wanajeshi yanabaki Magofu tu,Raia tunashuhudia Moshi tu.
 
Back
Top Bottom