Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Wadau naomba kufaamishwa kisheria hii imekaaje,mara nyingi sana hapa lugalo ukipita asubuhi una kuta wanajeshi wakiwakamata waendesha pikipiki na bajaj kwa makosa aitha kwa kutokuvaa helmet au kupita kushoto aka kutanua.
Mara nyingi huwapa adhabu ya kufyeka nyasi kwenye campus yao.
Swali wajame kisheria inaruhusiwa?
Sio unyanyasaji kweli huu?
Nawakilisha!!!!
Mara nyingi huwapa adhabu ya kufyeka nyasi kwenye campus yao.
Swali wajame kisheria inaruhusiwa?
Sio unyanyasaji kweli huu?
Nawakilisha!!!!