Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,008
Huyu alikuwa anazungumzia operation ya M23 Bila shakaJokas yuko sawa na ianawezekana ni sababu za ki protocol ndizo zimemfanya asitueleze hao jamaa wenyewe lakini jinsi ninavyojua hii habari tayari imeisha fika kwa wazee wahusika na wameisha anza ifanyia kazi inayopaswa,ni kweli pia imegundulika kuwa hivi sasa kuna vidudu mtu vingi sana vimetumwa kuja leta matatizo ndani ya jeshi letu imara.Sisi tayari tumeisha jipanga kwa battle moja kubwa sana karibu inakuja na pia tuko imara na tayari tunasubiri tuu ni wapi pa kuanzia sasa.Mr Murage msherwampamba.
Sent using Jamii Forums mobile app