JWTZ fungukeni macho mnahujumiwa

Jokas yuko sawa na ianawezekana ni sababu za ki protocol ndizo zimemfanya asitueleze hao jamaa wenyewe lakini jinsi ninavyojua hii habari tayari imeisha fika kwa wazee wahusika na wameisha anza ifanyia kazi inayopaswa,ni kweli pia imegundulika kuwa hivi sasa kuna vidudu mtu vingi sana vimetumwa kuja leta matatizo ndani ya jeshi letu imara.Sisi tayari tumeisha jipanga kwa battle moja kubwa sana karibu inakuja na pia tuko imara na tayari tunasubiri tuu ni wapi pa kuanzia sasa.Mr Murage msherwampamba.
Huyu alikuwa anazungumzia operation ya M23 Bila shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-- Naviamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, serikali yetu iko sensitive sana katika secta hiyo ndo maana hata mataifa mengi yanaiamini nchi yetu ndo maana wanaleta vijana wao kupata mafunzo
Serikali tutaisema kwa yoooooteeee sio hili la jwtz naiamini Sana
 
Ni wazi kwa Watanzania wengi kuwa jeshi letu Lina nguvu kuliko majeshi ya nchi washirika(EAC). Taarifa kama hizi si za kufumbia macho. Pia ni kweli kuwa raia wana nafasi katika kutoa taarifa ila tukumbuke kuwa kama kweli Kuna mbinu za kijasusi kukamilisha lengo Lao wao si wapumbavu kwa maana kwamba watajitahidi kwa namba yoyote wafanye kazi Yao kwa usiri na uthabiti. Muhimu vyombo vinavyohusika wafuatilie Hilo na kuchukua hatua stahiki
afadhari wewe ndio maana viongozi wa hivi vyuo wengi ni mamilionea maana hudili na wanafunzi wenye hela
 
Hongera mkuu kwa kutimiza jukumu lako achana na wapumbavu..ni matumaini yangu Kuwa mamlaka husika zitafuatilia suala hili katka ulinzi hakuna taarifa inayopuuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n SRNCOs katika vyuo vyao.

Swala liko hivi, kitengo cha kijasusi cha nchi hiyo kilituma mawakala nchini kiliwalenga wakuu wa vyuo hivyo vilivyopo TABORA KALUNDE, ZANZIBAR CHUKWANI, DAR ES SALAAM KIMBIJI mawakala walikua na kazi moja tu yakushawishi kulegeza mafunzo ya kijeshi na nidhamuili kuzoletesha ufanisi na utendaji kivita kwa JWTZ na wakuu hao wa vyuo wanafaidika na mgao mkubwa wa fedha toka katika nchi hiyo.

Kinachofanyika ili kutakatisha fedha hiyo wakuu hao hupitisha michango kwa wanafunzi wanaohudhuria kozi ktk vyuo vyao kwa kichwa kimoja huweza kufikia tsh 300000 hadi tsh 500000 kwa mda wa miezi minne ambayo hukaa hapo.

Kumbuka chuo kimoja huchukua wanafunzi kati ya 400 hadi 1000 elfu moja hukusanya zaidi ya tsh 100 millioni mia moja ambazo hazina ukaguzi wowote kwa kisingizio cha ujenzi wa miundo mbinu au huendesha klub za michezo hapo ndio kitendawili kilipo haijulikani kiasi wanakusanya na zinatumikaje sababu huzungukwa na mazingira ya usiri sana.

Pia hili hufanyika kama syndicate mtandao huu upo hadi makao makuu ya jeshi kila mtu hupata kutokana na ushiriki wake, mfano kurugenzi ya mafunzo hushurutishwa kupeleka idadi kubwa ya wanafunzi kuliko miundo mbinu ya vyuo husika lengo ni kupeleka nguvu kubwa kwaajiri ya kupata michango na mgao kwa kila moja ili kufanikisha hayo mambo yafuatayo hufanyika.

1. Chuo hupokea idadi kubwa ya wanafunzi bila uwiano sawa na wakufunzi kwa hili chuo kilichoathirika sana ni Kalunde TC

2 Wakufunzi hasa maofisa waandamizi wanaonekana kua na misimamo ya kukinzana na wakuu hao wa vyuo huamishwa vituoni mara moja na kupelekwa sehemu zingine ili kupunguza makali ya kozi.

3 Hufanya jitahada za makusudi kulegeza mafunzo ili kutoa ushawishi kwa wanafunzi kutoa michango bila malalamiko hili hupunguza nidhamu na maadili ya kazi husika.

4 Vyuo au wakuu hawa hafanya jitihada za kuwaondoa maafisa usalama wa vyuo hivyo nakuwapangia majukumu mengine nje ya vyuo au kama watakuwepo basi ni kada ya chini ambao sio tishio kwao kwa namna yeyote.

5 Huchangisha hadi millioni 100 ambazo hutumika kujiimalisha katika nafasi walizopo hii ikiwa ni pamoja na kusambaza migao maeneo yote muhimu ka katika brigedi zao makao makuu hasa kurugenzi ya mafunzo na uhamisho

ILA mawakala hao wamekili kushindwa kuingia chuo cha maafisa TMA kutokana na misimamo kizalendo ya wakuu wanaoka wekwa pale Mbinu hizi ndizo nchi hiyo husika iliitumia kuingia DRC ilikua mkakati wa mda mrefu mwisho wa habali.

Najua watakuja wabishi naomba wafanye tafiti kidogo tu na hili wamelifanya sambamba na kuhujumu ununuzi wa silaha na silaha ktk maghala na magari ya JWTZ katika baadhi ya vikosi.

Hili waliwatumia hutumia watu wenye tamaa ya fedha kufanya haya KAZI KWENU MAKAMANDA KIKULACHO KINGUONI MWAKO wapenda fedha wataliangamiza taifa hilikwa kukosa uzalendo inchi imejaa wasaliti TUAMKE.
Acha fitina na chuki zako. Hivi wewe unadhani taasisi hiyo ni ya kuchezea cheza kama siasa??
Kama kawaida yetu midomo yetu imekuwa tarumbeta ya kuimbia hata ngoma ya mchiriku.
'Usilolijua ni usiku wa kiza'
 
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n SRNCOs katika vyuo vyao.

Swala liko hivi, kitengo cha kijasusi cha nchi hiyo kilituma mawakala nchini kiliwalenga wakuu wa vyuo hivyo vilivyopo TABORA KALUNDE, ZANZIBAR CHUKWANI, DAR ES SALAAM KIMBIJI mawakala walikua na kazi moja tu yakushawishi kulegeza mafunzo ya kijeshi na nidhamuili kuzoletesha ufanisi na utendaji kivita kwa JWTZ na wakuu hao wa vyuo wanafaidika na mgao mkubwa wa fedha toka katika nchi hiyo.

Kinachofanyika ili kutakatisha fedha hiyo wakuu hao hupitisha michango kwa wanafunzi wanaohudhuria kozi ktk vyuo vyao kwa kichwa kimoja huweza kufikia tsh 300000 hadi tsh 500000 kwa mda wa miezi minne ambayo hukaa hapo.

Kumbuka chuo kimoja huchukua wanafunzi kati ya 400 hadi 1000 elfu moja hukusanya zaidi ya tsh 100 millioni mia moja ambazo hazina ukaguzi wowote kwa kisingizio cha ujenzi wa miundo mbinu au huendesha klub za michezo hapo ndio kitendawili kilipo haijulikani kiasi wanakusanya na zinatumikaje sababu huzungukwa na mazingira ya usiri sana.

Pia hili hufanyika kama syndicate mtandao huu upo hadi makao makuu ya jeshi kila mtu hupata kutokana na ushiriki wake, mfano kurugenzi ya mafunzo hushurutishwa kupeleka idadi kubwa ya wanafunzi kuliko miundo mbinu ya vyuo husika lengo ni kupeleka nguvu kubwa kwaajiri ya kupata michango na mgao kwa kila moja ili kufanikisha hayo mambo yafuatayo hufanyika.

1. Chuo hupokea idadi kubwa ya wanafunzi bila uwiano sawa na wakufunzi kwa hili chuo kilichoathirika sana ni Kalunde TC

2 Wakufunzi hasa maofisa waandamizi wanaonekana kua na misimamo ya kukinzana na wakuu hao wa vyuo huamishwa vituoni mara moja na kupelekwa sehemu zingine ili kupunguza makali ya kozi.

3 Hufanya jitahada za makusudi kulegeza mafunzo ili kutoa ushawishi kwa wanafunzi kutoa michango bila malalamiko hili hupunguza nidhamu na maadili ya kazi husika.

4 Vyuo au wakuu hawa hafanya jitihada za kuwaondoa maafisa usalama wa vyuo hivyo nakuwapangia majukumu mengine nje ya vyuo au kama watakuwepo basi ni kada ya chini ambao sio tishio kwao kwa namna yeyote.

5 Huchangisha hadi millioni 100 ambazo hutumika kujiimalisha katika nafasi walizopo hii ikiwa ni pamoja na kusambaza migao maeneo yote muhimu ka katika brigedi zao makao makuu hasa kurugenzi ya mafunzo na uhamisho

ILA mawakala hao wamekili kushindwa kuingia chuo cha maafisa TMA kutokana na misimamo kizalendo ya wakuu wanaoka wekwa pale Mbinu hizi ndizo nchi hiyo husika iliitumia kuingia DRC ilikua mkakati wa mda mrefu mwisho wa habali.

Najua watakuja wabishi naomba wafanye tafiti kidogo tu na hili wamelifanya sambamba na kuhujumu ununuzi wa silaha na silaha ktk maghala na magari ya JWTZ katika baadhi ya vikosi.

Hili waliwatumia hutumia watu wenye tamaa ya fedha kufanya haya KAZI KWENU MAKAMANDA KIKULACHO KINGUONI MWAKO wapenda fedha wataliangamiza taifa hilikwa kukosa uzalendo inchi imejaa wasaliti TUAMKE.
Taarifa yako ni nzuri ila una kiswahili kigumu mnoo!
 
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n SRNCOs katika vyuo vyao.

Swala liko hivi, kitengo cha kijasusi cha nchi hiyo kilituma mawakala nchini kiliwalenga wakuu wa vyuo hivyo vilivyopo TABORA KALUNDE, ZANZIBAR CHUKWANI, DAR ES SALAAM KIMBIJI mawakala walikua na kazi moja tu yakushawishi kulegeza mafunzo ya kijeshi na nidhamuili kuzoletesha ufanisi na utendaji kivita kwa JWTZ na wakuu hao wa vyuo wanafaidika na mgao mkubwa wa fedha toka katika nchi hiyo.

Kinachofanyika ili kutakatisha fedha hiyo wakuu hao hupitisha michango kwa wanafunzi wanaohudhuria kozi ktk vyuo vyao kwa kichwa kimoja huweza kufikia tsh 300000 hadi tsh 500000 kwa mda wa miezi minne ambayo hukaa hapo.

Kumbuka chuo kimoja huchukua wanafunzi kati ya 400 hadi 1000 elfu moja hukusanya zaidi ya tsh 100 millioni mia moja ambazo hazina ukaguzi wowote kwa kisingizio cha ujenzi wa miundo mbinu au huendesha klub za michezo hapo ndio kitendawili kilipo haijulikani kiasi wanakusanya na zinatumikaje sababu huzungukwa na mazingira ya usiri sana.

Pia hili hufanyika kama syndicate mtandao huu upo hadi makao makuu ya jeshi kila mtu hupata kutokana na ushiriki wake, mfano kurugenzi ya mafunzo hushurutishwa kupeleka idadi kubwa ya wanafunzi kuliko miundo mbinu ya vyuo husika lengo ni kupeleka nguvu kubwa kwaajiri ya kupata michango na mgao kwa kila moja ili kufanikisha hayo mambo yafuatayo hufanyika.

1. Chuo hupokea idadi kubwa ya wanafunzi bila uwiano sawa na wakufunzi kwa hili chuo kilichoathirika sana ni Kalunde TC

2 Wakufunzi hasa maofisa waandamizi wanaonekana kua na misimamo ya kukinzana na wakuu hao wa vyuo huamishwa vituoni mara moja na kupelekwa sehemu zingine ili kupunguza makali ya kozi.

3 Hufanya jitahada za makusudi kulegeza mafunzo ili kutoa ushawishi kwa wanafunzi kutoa michango bila malalamiko hili hupunguza nidhamu na maadili ya kazi husika.

4 Vyuo au wakuu hawa hafanya jitihada za kuwaondoa maafisa usalama wa vyuo hivyo nakuwapangia majukumu mengine nje ya vyuo au kama watakuwepo basi ni kada ya chini ambao sio tishio kwao kwa namna yeyote.

5 Huchangisha hadi millioni 100 ambazo hutumika kujiimalisha katika nafasi walizopo hii ikiwa ni pamoja na kusambaza migao maeneo yote muhimu ka katika brigedi zao makao makuu hasa kurugenzi ya mafunzo na uhamisho

ILA mawakala hao wamekili kushindwa kuingia chuo cha maafisa TMA kutokana na misimamo kizalendo ya wakuu wanaoka wekwa pale Mbinu hizi ndizo nchi hiyo husika iliitumia kuingia DRC ilikua mkakati wa mda mrefu mwisho wa habali.

Najua watakuja wabishi naomba wafanye tafiti kidogo tu na hili wamelifanya sambamba na kuhujumu ununuzi wa silaha na silaha ktk maghala na magari ya JWTZ katika baadhi ya vikosi.

Hili waliwatumia hutumia watu wenye tamaa ya fedha kufanya haya KAZI KWENU MAKAMANDA KIKULACHO KINGUONI MWAKO wapenda fedha wataliangamiza taifa hilikwa kukosa uzalendo inchi imejaa wasaliti TUAMKE.
Du!
 
Ulichosema nahisi kina mantiki flani na Utendekaji wa mafunzo kwa sasa katika baadhi ya camp hapa Tz . but si vyema mambo ya Jeshi kujadiliwa na raia wasiokula yamin .
Haya Mambo ulipaswa kupeleka sehemu husika kwa njia nzuri na salama si vyema kuleta Mambo mazito huku kwa nangaz umeharibu utatoa info kea adui
 
Ila sijaelewa huo utakatishaji unavyofanywa, yaani wanafunzi wanachangishwa kati ya 300k na 500k...zinakusanywa na wakuu wa vyuo....sasa zile ela zinazotoka kwenye huyo jirani mkorofi zinamfikiaje mkuu wa chuo!?
 
Kwa mnavyojua kozi za jwtz; watu wanavyoanza kozi huwa hawapelekwa kasi sana mpaka wanatamani kukimbia; ndo wanakalishwa chini wawe wanachanga kiasi fulani cha pesa ili usiku wakeshe wamelala bila kula doso
 
Kwahili ondoeni hofu kabisaa jeshini hakuna kitu cha namna hiyo. Na mtu kuwa mkuu wa chuo cha mafunzo ya kijeshi Tanzania basi ujue huyo mtu hana siri yoyote moyoni mwake/kichwani mwake.
 
Back
Top Bottom