Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,341
- 2,092
Tpdf halipo chini ya wizara ya mambo ya ndani!Ushauri mzuri lakini si raisi hivyo wizara ya mambo ya ndani ina bajeti ndogo mno pili hapa kwetu masuala ya ugaidi na uhalifu si mengi na kama yapo syo ya ukubwa huo hzo iron dome za israel zimewekwa kwa shinikizo maalumu kwa magumu waliyopitia mfano mfumo mzima wa ulinzi na usalama wa USA uliimarika mara 10 zaid baada ya tukio la sept 11 hvyo kwa hapa kwetu bado ni vigumu kufika huko kwa sasa ila kitafanyika ambacho kina umuhimu kwa wakati na mazingira maalumu pekee haya maoni tu wana jamii int
Ni wizara ya ulinzi.