TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
KUna uwezekano mkubwa hujui asili hasa ya ukweli ni nini na kwanini ukweli uko juu ya vitu hivi vingine. Hutakuwa watu wako tayari kufa kusimamia busara bali utawakuta wengi ambao wamesalimisha maisha yao kwa ajili ya kile ambacho dhamira zao na ufahamu wao kimewashawishi kuwa ni ukweli.
SIO KILA AFAYE KWA KUSIMAMIA UKWELI HUTIBITISHA KWELI YAKE... We know people waliokufa wakiamini waaminicho only later ukweli wa kweli ukaja kujitokeza
ladba ujue kitu kingine, sio kila unachoweza kusacrifice basi ndio kiwe kweli zaidi, vingine ni sadaka au busara...
Mtu mwenye busara hatangulizi kifo, na kama kinatokea ni kwa ajili ya faida ya muda mrefu kwa wote hata afaye...
Kweli yako ndugu yangu ina walakini... Na si ajabu utajua hilo siku moja
On another note: Kitu ninachokukubalia (kama tukitaka kusimamia ukweli) ni kwamba wote wanaotaka kututawala mwaka huu ni walaghai, hakuna hata mmoja asemaye ukweli, sasa je tuwatose wote na tujitawale?? tumwache huyo msanii mkuu aongezewe muda? au tupige bora liende na tulipe ultimate sacrifice itakayorudisha busara, ukweli na ukomavu
I think you are stretching too far kwasababu ya personal ego na security hadi unaharibu zaidi mkuu, extremism na ukweli vyaweza kuishi pamoja, lakini kweli yake itakua biased tu