Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Ah wapiga debe for or against OIC mna matatizo sana. Mnanyofoa vipengele mnavyopenda halafu mnajenga hoja hebu ielezeni hiyo charter katika ujumla wake ina ubaya gani? Kwamfano huyo huko juu kanyofoa kipengele halafu anatueleza hizo hidden agenda. Sasa na mimi nanyofoa kile kipengele kinachosema kuwa OIC itaheshimu sovereiginty ya Mataifa wanachama. Sasa hiyo hidden agenda yake itapita wapi? Acheni propaganda Bwana, Mnatuyumbisha.

Sasa kama ni hivyo katika makundi hayo mawili mimi waniweka kundi lipi? :)
 
Hii kesi ilifungwa siku nyingi sana, waziri alienda kupiga magoti na kuomba radhi kwa Pengo kwa kukosa nidhamu kwa taifa, Case Closed!
 
attachment.php


Jamaa katuhumiwa kuzini na kulewa...anatandikwa mijeledi na 'watakatifu' waliojifunika nyuso zao...haya ndio mambo ya mahakama ya kadhi?

Photo credit:Michuzi blog
 
attachment.php


Jamaa katuhumiwa kuzini na kulewa...anatandikwa mijeledi na 'watakatifu' waliojifunika nyuso zao...haya ndio mambo ya mahakama ya kadhi?

Photo credit:Michuzi blog

mleta maoni haieleweki kama unaelewa mwendo mzima wa maisha ya wairan na vipi wanaendesha nchi yao huwezi kufananisha wairan na waTz katika hilo na kufanya hivyo ni sawa na kukubaliana na wazungu walikuwa wengi mpaka leo wanaamini kuwa sisi wafrika akili zetu ni zakuchangiwa na tunaishi maisha ya kimajabu na pia kuna wale wanaotuona sisi kama vile kima binafsi nimewahi kuitwa majina kama hayo nikiwa Germany katika mika ya karibu sasa ni lazima uelewe nini unakifananisha baina ya jamii na jamii usikurupuke na kudhalilisha upande mmoja kuna mifano mingi kama wakati alipofariki J poul walikuwapo wafrika ambao walifikiriwa kuongoza lilekanisa lakini wazungu wengi walifika kusema hilo bado kumuweka muafrika kiongozi wa kanisa pale italy na kila aina ya majina waliitwa wafrika wale ili tu wasiweze kushika nafasi zile
 
mleta maoni haieleweki kama unaelewa mwendo mzima wa maisha ya wairan na vipi wanaendesha nchi yao huwezi kufananisha wairan na waTz katika hilo na kufanya hivyo ni sawa na kukubaliana na wazungu walikuwa wengi mpaka leo wanaamini kuwa sisi wafrika akili zetu ni zakuchangiwa na tunaishi maisha ya kimajabu na pia kuna wale wanaotuona sisi kama vile kima binafsi nimewahi kuitwa majina kama hayo nikiwa Germany katika mika ya karibu sasa ni lazima uelewe nini unakifananisha baina ya jamii na jamii usikurupuke na kudhalilisha upande mmoja kuna mifano mingi kama wakati alipofariki J poul walikuwapo wafrika ambao walifikiriwa kuongoza lilekanisa lakini wazungu wengi walifika kusema hilo bado kumuweka muafrika kiongozi wa kanisa pale italy na kila aina ya majina waliitwa wafrika wale ili tu wasiweze kushika nafasi zile

Spear bado umeleta giza nene. Hatujaelewa bado. Naona umeshanganya sasa kati ya utanzania (uafrika) wetu na Uzungu. Sisi tunafahamu kuwa Iran ni nchi ya kiislamu inayoongozwa kwa misingi ya sharia ikiwemo mahakama ya kadhi. Hukumu hiyo aliyopewa jamaa mzinzi na mlevi ni kwa mujibu wa sharia. Ukiangalia vizuri, na hata polisi wapo wakihakikisha kuwa jamaa anapata adhabu hiyo. Angalia kwenye picha, unamuona polisi akiwa na radio call za mkononi kuthibitisha kuwa hukumu inatendeka. Sasa swali letu ni kutaka kujua, je kuna tofauti ya hukumu kwa Watanzania na kwa Wa-IRAN? Maana yake je kuna double standards kwenye sharia! Kutuambia masuala ya wafrika na wazungu hakujibu hoja msingi! Isitoshe Wa-Iran siyo wazungu, ni waasia.
 
mleta maoni haieleweki kama unaelewa mwendo mzima wa maisha ya wairan na vipi wanaendesha nchi yao huwezi kufananisha wairan na waTz katika hilo na kufanya hivyo ni sawa na kukubaliana na wazungu walikuwa wengi mpaka leo wanaamini kuwa sisi wafrika akili zetu ni zakuchangiwa na tunaishi maisha ya kimajabu na pia kuna wale wanaotuona sisi kama vile kima binafsi nimewahi kuitwa majina kama hayo nikiwa Germany katika mika ya karibu sasa ni lazima uelewe nini unakifananisha baina ya jamii na jamii usikurupuke na kudhalilisha upande mmoja kuna mifano mingi kama wakati alipofariki J poul walikuwapo wafrika ambao walifikiriwa kuongoza lilekanisa lakini wazungu wengi walifika kusema hilo bado kumuweka muafrika kiongozi wa kanisa pale italy na kila aina ya majina waliitwa wafrika wale ili tu wasiweze kushika nafasi zile
Kijana hoja hujibiwa kwa hoja........nauliza tena hii ndio mahakama ya kadhi? nikiwa na maana adhabu hiyo imetekelezwa kufuata na taratibu za mahakama ya kadhi?
 
attachment.php


Jamaa katuhumiwa kuzini na kulewa...anatandikwa mijeledi na 'watakatifu' waliojifunika nyuso zao...haya ndio mambo ya mahakama ya kadhi?

Photo credit:Michuzi blog

Eeh! Ila sheria kama hizo zinawadhibiti watu wadogo tu na si wakubwa. Kama kufanya hayo ni kwa mujibu wa dini kuna tofauti gani kati ya dini na jeshi?

Mimi nadhani watu wa dini kazi yao ni kuongoza watu ili wawe watakatifu na fimbo au mawe hayamfanyi mtu mtakatifu bali matendo ya fadhila - kusamehe, huruma, upendo, kutolipiza kisasi, uaminifu, unyenyekevu nk.

Mimi nadhani dini zetu zinahitaji 'purification' - conversion.
 
Kijana hoja hujibiwa kwa hoja........nauliza tena hii ndio mahakama ya kadhi? nikiwa na maana adhabu hiyo imetekelezwa kufuata na taratibu za mahakama ya kadhi?

Eboooo!?!?!?!? wewe ndio umeweka hiyo picha hapo halafu unatuuliza sisi???? Kwani umeipata wapi??? hao waliopiga picha ndio wajua huyo mujamaa kapatwa na nini?????
 
attachment.php


Jamaa katuhumiwa kuzini na kulewa...anatandikwa mijeledi na 'watakatifu' waliojifunika nyuso zao...haya ndio mambo ya mahakama ya kadhi?

Photo credit:Michuzi blog

Ndiyo ni kwa sheria za mahakama ya kadhi? unaogopa? subiri inakuja!

Kama nilivyokwisha sema kutokana na misimamo na uzingativu wa wana dini Tanzania, dini zetu tumesingiziwa, ndio maana kuna wanaobip uislamu na ukristo! wana majina mazuri sana, dini hawazingatii japo wako tayari kuifia!

Ijapo hali kama ya hapo juu,''bakora'' kukatwa mikono, nakuambia kwa kukuapia ''masafi ya mtume'' wengi watahama dini! wataenda ukristo, wakristo na wakianzisha bakora kama hizo, watagoma watarudi dini zetu za kale! mimi sipo, tena pale sharia inapokuwa kali kwa wadogo dhaifu kwa wakubwa, au pale inapokuwa kali kwa wanawake nyepesi kwa wanaume!

Hao jamaa walioficha sura si ajabu jana yake nao.......' mi simo'

Kama kuna mkereketwa wa dini aliandike hili chini, ''wengi watahama uislamu'' ili limetafitiwa yetu macho!
 
Ndiyo ni kwa sheria za mahakama ya kadhi? unaogopa? subiri inakuja!

Kama nilivyokwisha sema kutokana na misimamo na uzingativu wa wana dini Tanzania, dini zetu tumesingiziwa, ndio maana kuna wanaobip uislamu na ukristo! wana majina mazuri sana, dini hawazingatii japo wako tayari kuifia!

Ijapo hali kama ya hapo juu,''bakora'' kukatwa mikono, nakuambia kwa kukuapia ''masafi ya mtume'' wengi watahama dini! wataenda ukristo, wakristo na wakianzisha bakora kama hizo, watagoma watarudi dini zetu za kale! mimi sipo, tena pale sharia inapokuwa kali kwa wadogo dhaifu kwa wakubwa, au pale inapokuwa kali kwa wanawake nyepesi kwa wanaume!

Hao jamaa walioficha sura si ajabu jana yake nao.......' mi simo'

Kama kuna mkereketwa wa dini aliandike hili chini, ''wengi watahama uislamu'' ili limetafitiwa yetu macho!

Mkuu, naomba kuuliza. Hizo Mahakama za Kadhi zinatumia amri za Mungu au vipi? Nauliza haya kwa vile nikisoma Qur'an kuhusu 'forgiveness' napata picha tofauti. Mfano, hebu angalia aya zifuatazo. Naomba uzisome na utoe maoni yako jinsi unavyoelewa na wewe:

Surah 39:53

Say: O my Servants who
Have transgressed against their souls!
Despair not of the Mercy
Of Allah: for Allah forgives
All sins: for He is
Oft-Forgiving, Most Merciful.

Surah 42:5

The heavens are almost
Rent asunder from above them
(By His Glory):
And the angels celebrate
The Praises of their Lord,
And pray for forgiveness
For all beings on earth:
Behold! Verily Allah is He,
The Oft-Forgiving,
Most Merciful.


Surat 42:40

The recompense for an injury
Is an injury equal thereto
(In degree): but if a person Forgives and makes reconciliation,
His reward is due
From Allah: for (Allah)
Loveth not who
Do wrong.


Surat 42:43

But indeed if any
Show patience and forgive,
That would truly be
An affair of great
Resolution.
 
Kuhusu hoja ya Tz kuwa na uhusiano na Vatican, hiki ni kiini macho tu. HAKUNA NCHI YOYOTE DUNIANI YENYE UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA NA VATICAN!! NCHI ZINAZODAIWA KUWA NA UHUSIANO NA VATICAN, HASA ZINA UHUSIANO NA "HOLY SEE" - SI VATICAN! HOLY SEE NI MAMLAKA YA KI-PAPA, SI NCHI!
 
sasa, kama itahusu ndoa,mirathi na mambo kama hayo, si ndo sharia yenyewe? kwasababu sheria za kiislam ni mbaya upande wa mambo ya ndoa tu. sehemu zingine si mbaya sana. mambo ya ndoa ndiyo yatakayofanya wanawake wafukiwe chini kubakiza kichwa tu ili wapigwe mawe hadi wafe. hapa tz kama waislam watapewa kitu icho, ndio itakuwa mwanzo wa tz kuona wanawake waliohukumiwa kupitia sheria ya kiislam wakipigwa mawe. kuna wadada wengi tu hapa tz wa kikristo, watoto wetu, dada zetu na mashangazi zetu, wameolewa kwa waislam, hivyo wakifanya kosa, watoto wetu hasa sisi waikristo wataathirika, na athari hiyo itakuwa sio kwa waislam tu. kuleta kadhi hapa ni ushetani. tuikimbie kwa nguvu zote.

hata OIC, ni kitu kinachohamasisha uislamu tu, sio maendeleo. hata maendeleo yanapelekwa kama kiini macho tu ili kusapoti na kusambaza imani ya kiislam. waislam mara zote huwa wana ndoto ya kuislamize dunia yote, ndio lengo la OIC. to hell are both of these two things.
 


BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limeibua upya hoja za kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga na Jumuiya ya nchi za Kiislamu Duniani (OIC), kwa kuitaka serikali kutafakari kwa kina na hekima juu ya kuridhia kuanzishwa kwa vyombo hivyo.

Kuibuka tena kwa hoja hizo kumekuja miezi michache baada ya Rais Jakaya Kikwete kufunga mijadala hiyo iliyokuwa ikielekea kuwagawa wananchi kwa misingi ya kidini.

Hoja hizo zimeibuliwa juzi kwenye Baraza la Maulid na Naibu Katibu Mkuu wa Utawala wa Bakwata, Suleiman Lolila, ambaye aliitaka serikali iangalie upya na kwa hekima na kama inawezekana iharakishe masuala hayo mawili.

“Tunaipongeza serikali kwa hekima kubwa na jitihada inayoitumia katika kushughulikia masuala ya Mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC, Waislamu wanangoja kwa hamu na shauku kubwa ridhaa ya serikali, Inshallah, tunaiombea serikali ipate wepesi katika masuala haya maridhawa.

“Tunawaomba Waislamu wadhamirie kwa dhati katika suala hili la OIC na mahakama ya kadhi kwa kutokuruhusu mwanya wowote wa mifarakano miongoni mwetu, kwani mifarakano itakaribisha mgawanyiko na utengano miongoni mwa jamii,” alisema Lolila.

Naibu Katibu Mkuu huyo, akisoma risala ya Bakwata mbele ya Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, alisema ili kuridhiwa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na OIC kuna hitaji utulivu wa hali ya juu miongoni mwa waumini wa dini zote mbili (Waislamu na Wakristo) ili kuipa serikali nafasi ya kufanya maamuzi ya busara kwa lengo la kuimarisha umoja wa kitaifa miongoni mwa jamii.

Suala la uanzishwaji wa mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC, mwishoni mwa mwaka jana lilizua mjadala mpya nchini, baada ya kufika bungeni na kutishia kuwagawa wabunge kwa itikadi za kidini.

Oktoba mwaka jana katika hotuba yake, Rais Kikwete, hakutaka kuweka wazi ni lini Tanzania itaridhia kujiunga na OIC pamoja na uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi, na badala yake aliwatuliza wananchi kwa kuwaambia wavute subira wakati serikali ikilifanyia kazi suala hilo kwa masilahi ya umma.

Rais Kikwete aliweka bayana kuwa ni mapema mno kuanza kutoa uamuzi wa masuala hayo, kwa kuwa bado utafiti haujakamilika pamoja na serikali kutotoa uamuzi wa mwisho, hivyo hakuna sababu kwa wananchi kulumbana.

Nimeitoa Freemedia

 
Back
Top Bottom