MARTIAL20
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 422
- 1,014
Hivi kasusura yuko wapi now?
Hasta la victoria siempre
Yupo kagera
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi kasusura yuko wapi now?
Hasta la victoria siempre
Kuna matakataka mengi sana humu jamvini kazi yao kuponda wenzaoNyie ndio wanafiki, na wewe si uandike yako nzuri tuone?
Wabongo mna tabu sana, wewe mwenye mtiririko mzuro ulikuwa wapiHuyu aliyeandika hii story ni mbabaishaji na ameandika kwa maneno aliyosikia vijiweni. Halafu eti anaahidi ''kitabu''! Kwanza mtiririko wake wa uandishi ni wa kibabaishaji, hauvutii na wa level ya chini sana. Total crap!
Jamaa siku hizi yuko kwao Biharamulo ni mwendo wa bata kuanzia asubuhi hadi usiku ni ni bia na nyama.
Yupo Biharamulo Kagera ndo kwao,anakula bata hatari nafikiri chenji ilibaki ya kutosha.Hivi kasusura yuko wapi now?
Hasta la victoria siempre
Miswahili ina wivu, uchoyo, dharau, hata kwa mambo ya kijinga tu!! tangu enzi za watumwa ndo yalivyo ujinga km huu wako ndo uliwauza ndugu zenu!! sasa ukiliuliza yako iko wapi? lina toa mimacho tu!!! ndo maana mnatunzwa nyie kenge!!!!Huyu aliyeandika hii story ni mbabaishaji na ameandika kwa maneno aliyosikia vijiweni. Halafu eti anaahidi ''kitabu''! Kwanza mtiririko wake wa uandishi ni wa kibabaishaji, hauvutii na wa level ya chini sana. Total crap!
Haya wanayajua akina Kweka na mjomba wake Kasusura aitwae Fred batamula!Je , zile TZS 4,397,500,000/= ziliyeyukia wapi?
Siku hizi hata elfu anaitafuta kwa tochi mchana!Tuambizane tu kasusura yuko wapi tukamdangie.hizo b Bado zipo lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi hata elfu anaitafuta kwa tochi mchana!
Mkuu ulishatoa movie?Mkuu nipo mwishoni natengeneza script movie itatoka mwakani desemba
Acha kick za kitotoSiku hizi hata elfu anaitafuta kwa tochi mchana!