Elections 2010 Justice delayed is Justce denied akajibiwa Jusice hurried is justice Buried

FarLeftist

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
363
20
Yule mwndishi aliyejibiwa na mtu wa Tume ya Uchaguzi jana baada ya kuhoji kucheleweshwa kwa matokeo majimboni bila sababu za msingi, kweli inaonyesha hawa jamaa hawachagui majibu kulingana na maswali....
 
Yule mwndishi aliyejibiwa na mtu wa Tume ya Uchaguzi jana baada ya kuhoji kucheleweshwa kwa matokeo majimboni bila sababu za msingi, kweli inaonyesha hawa jamaa hawachagui majibu kulingana na maswali....

Ulitaka ajibiweje kama hata yeye hajui kuuliza swali vizuri!
 
Back
Top Bottom