Zlatanmasoud
Member
- Dec 19, 2010
- 71
- 15
Kwa vile JF ni sehemu ya kupashana habari nimeona ni vyema kuwajuulisha wanajamvi wasiojua. Maulid ni kesho Jumatatu kazi kama kawa.
Kwa vile JF ni sehemu ya kupashana habari nimeona ni vyema kuwajuulisha wanajamvi wasiojua. Maulid ni kesho Jumatatu kazi kama kawa.
Kwa vile JF ni sehemu ya kupashana habari nimeona ni vyema kuwajuulisha wanajamvi wasiojua. Maulid ni kesho Jumatatu kazi kama kawa.
Mkuu naomba source ya taarifa yako!
Sad newsJumapili kwa kalenda ya kiislam ni tarehe 12 ambayo alizaliwa Mtume Muhammad SAW. Na maulid yashasomwa jana usiku kitaifa hapa Zenj. So J3 sio holiday