Just Imagine

Kuntakinte

JF-Expert Member
May 26, 2007
701
31
Just imagine upo mitaa ya Kariakoo, halafu anatoke mtu mwenye matatizo ya ngozi (Zeruzeru) anakupora simu yako mpya uliyoitafutia hela kama miezi 3 hivi unahangaika ili uinunue halafu wewe unaaanza kumkimbiza? Je unadhani wananchi watakuchukiliaje?
 
Unamkimbiza huku unampigia yowee la ,mwizziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! ukimkimbiza kimya kimya itakuwa msala kwako
 
Back
Top Bottom