Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipya lipi katika hilo? Watu hawafanani kwa namna nyingi and that is the fact. Even avatar yako pengine inaficha the real you. Hakuna mtu asiyetoka kwenye familia. At the end of it all; thou shall not judge maana kipimo utumiacho ku-judge ndicho hicho na wewe utapimiwa....kuna ambao nahisi ni walevi kinoma,kuna ambao nahisi ni wa mama wa heshima etc
Jipya lipi katika hilo? Watu hawafanani kwa namna nyingi and that is the fact. Even avatar yako pengine inaficha the real you. Hakuna mtu asiyetoka kwenye familia. At the end of it all; thou shall not judge maana kipimo utumiacho ku-judge ndicho hicho na wewe utapimiwa....
not kwamba nawafaham kwa kutumia Avatar,but nauliza ukiangalia tu unapata picha gani?
Ya kwanza ya Mdada mwenye shep: Nahisi labda anatamani angekuwa na li Shep!!!!!:
Wa pili.......anapenda angetutisha humu.....and seems to be muangaliaji wa movies za kutisha:
Chapombe:
Brothermen:
Mhhh huyu dogo mwenye kitu kama ng'oma mh!!!
mtoto.................
mdada....................naishia hapo
Ya kwanza ya Mdada mwenye shep: Nahisi labda anatamani angekuwa na li Shep!!!!!:
Wa pili.......anapenda angetutisha humu.....and seems to be muangaliaji wa movies za kutisha:
Chapombe:
Brothermen:
Mhhh huyu dogo mwenye kitu kama ng'oma mh!!!
mtoto.................
mdada....................naishia hapo
Sawa mkuu,yaonesha wewe ni mtabiri mzuri sana naomba unieleze basi na mimi hii avatar inatoa mtazamo gani kwa jamii.
husipokuwa makini unaweza toa mtazamo husio sahihi kuhusiana na avatar za watu humu ndani hasa unapotaka kuoanisha avatar na mtu mwenyewe halisia kitabia na kimuonekano. Si ndiyo? Mfano Kaizer no way out atakuwa mtu wa mitungi tu hata kama ni kwa wastani.
Asprin hawezi kuwa mpole kama avatar yake inavyoonesha lazima atakuwa mnywaji sana na muongeaji over chiriku.
Nguli sio lazima awe na afro unawezakuta ana upara wala havai cowboy. Ni mpole ila mwenye wasiwasi na mchukua tahadhari na anayejipenda.
Cheusimangala anaweza kuwa wala sio mvaa nguo hizo na hana huo mzigo wa kutisha hapo back. Na ajabu unawezakuta mtu mzima fulani hivi ila wakati anakua alikuwa anapenda vitu fulani hivi kama umodel.
Ziondaughter sio lazima awe kama alivyo hapo. Unaweza kuta ni mweusi na bonge fulani hivi. Mkali fulani na sio mtu wa pozi
Ni mtizamo wangu kwa hizi chache alizoweka Pearl. Twaweza endelea bidae. Si ndiyo?