Wadau leo katika kipindi cha inside Africa, ndani ya kituo cha CNN, mmoja wa wadau waliokuwa wanafanyiwa interview ni Ismail Jussa, anasema Zanzibar lazima irudishiwe sovereignty yake iliyopotea na wawe huru na huu ni msimamo wa vyama vikuu viwili huko Zanzibar, CCM na CUF.
May take:
Je, CCM na CUF bara ni tofauti na zile za Zanzibar? Mbona misimamo ni tofauti?
May take:
Je, CCM na CUF bara ni tofauti na zile za Zanzibar? Mbona misimamo ni tofauti?