Jussa, Mbenne wabunge wapya!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,428
113,432
Raisi Jakaya Kikwete amehitimisha uteuzi wa wabunge 10 wa kuteuliwa na rais kwa kumteua Bw. Ismail Jussa Ladhu, wa CUF na Janet Mbene wa CCM kuwa wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Uteuzi huu, umetangazwa live jioni hii bungeni mjini Dodoma, na Spika wa Bunge, Mhe. Samweli Sitta wakati akikamilisha mjadala wa Richmond.

Jussa ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF na msungumzaji mzuri kwenye medani za media. Janet Mbene ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM, na huku ndiko ziliko nyumba za waheshimiwa mawaziri na wenzetu waliojaliwa neema.

Wabunge hawa, wataapishwa kesho Bungeni Dodoma.
 
Rais Jakaya Kikwete amewateua Ismail Jussa Ladhu wa CUF na Janet Zebedayo Mbene wa CCM kuwa wabunge, uteuzi huo unaanza mara moja.

Jussa ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF wakati Janet Mbene ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM

PM
 
Kuongeza gharama kwa walipa kodi! Watafanya nini muda huu uchaguzi OCT! Kaweka rekodi kuchagua jamaa wa CUF.

Sijui kama ni Mbene huyu nime-mgoogle!

Janet Mbene -
Janet%20Mbene%20-%20TZ.jpg


She joined the Board in May 2006. She is a professional banker and holds a Masters Degree in Economics from University of New England, Armidale New South Wales, Australia. She has a Bachelor of Arts in Economics from University of Dar es Salaam and an Advanced Diploma in banking from Institute of Finance in Dar es Salaam. She is a Company Director and Lead Consultant SIA Limited and a member of Fair Competition Tribunal Tanzania and the Advisory Board Faculty of Business at Tumaini University in Dar es Salaam. She is also a founder member of the Association of Women Economists in Tanzania among others.
 
Unajua bunge la Nigeria lilimuidhinisha Jonathan kuwa Rais baada ya kuona amar yardua amekosa uongozi thabiti.Wametumia neno "kukosa uongozi thabiti",hivi sisi kweli tunao?

Nwei,hongera wateule!
 
Kuongeza gharama kwa walipa kodi! Watafanya nini muda huu uchaguzi OCT! Kaweka rekodi kuchagua jamaa wa CUF. Unapicha ya huyu Janet Zebedayo Mbene?

Hajaweka rekodi, alianza Mkapa ambaye alimteua Hamad Rashid. Inashangaza kwamba wabunge wa majimbo ukomo umewekwa kwamba nafasi ikiwa wazi chini ya mwaka mmoja kuelekea uchaguzi hakuna kujazwa lakini wa kuteuliwa na Rais wakati wowote anaweza kujaza kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi.

Janet Mbene aliwahi kugombea ubunge wa bunge la Afrika ya Mashariki akashindwa

PM
 
mama ameruka kwa kasi ya ajabu, kutoka serikali ya mtaa hadi dodoma, kaaaaaazi kweli kweli...
 
Kuongeza gharama kwa walipa kodi! Watafanya nini muda huu uchaguzi OCT! Kaweka rekodi kuchagua jamaa wa CUF.

Sijui kama ni Mbene huyu nime-mgoogle!

Janet Mbene -
Janet%20Mbene%20-%20TZ.jpg


She joined the Board in May 2006. She is a professional banker and holds a Masters Degree in Economics from University of New England, Armidale New South Wales, Australia. She has a Bachelor of Arts in Economics from University of Dar es Salaam and an Advanced Diploma in banking from Institute of Finance in Dar es Salaam. She is a Company Director and Lead Consultant SIA Limited and a member of Fair Competition Tribunal Tanzania and the Advisory Board Faculty of Business at Tumaini University in Dar es Salaam. She is also a founder member of the Association of Women Economists in Tanzania among others.

Ndiye yeye amewahi kuwa kwenye bodi ya SID nk

PM
 
Copy%2Bof%2BUmasikini%2BBasi.JPG


Ms Janet Mbene - Working in Zimbabwe Now.
Chaiperson Kenya Commercial Bank

Naona ni huyu na hapa kama Miss sijui ana mume ama laa, ni muhimu kujua hili.​
ni fellow wa Synergos Announces 2009 Senior Fellows

Janet Mbene (Zimbabwe)​
, Executive Director, MWENGO, a private voluntary association based of nongovernmental organizations in East and Southern African countries that focus on gender, children and youth, trade, land distribution, the environment and social justice.
 
Wananchi tutegemee nini katika uteuzi huu?? wateule hawa kwa muda mfupi wa ubunge uliobaki watawafanyia nini watanzania? Anyway, jichukulieni chenu kwa muda huo baadae laleni mbele.
 
Mode, naomba iunganisha hii thread na ile nyingine, its coincidential duplicate!.
 
Rais Jakaya Kikwete amewateua Ismail Jussa Ladhu wa CUF na Janet Zebedayo Mbene wa CCM kuwa wabunge, uteuzi huo unaanza mara moja.

Jussa ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF wakati Janet Mbene ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM

PM

Mhh kukubali kuuzwa kwa ile Masaki Beach huu ndio ujira wake? just thiking aloud..
 
imebaki miezi 5 au 6 rais avunje bunge ...uteuzi huu wa nini..bora wa jussa naweza kuita kuwa ni sahihi kisiasa..as gesture ya kukubali hatua ya karume na seif...unajuwa jussa ndiye mshika mkoba wa seif..miaka yote[PS] ...sasa huyu mama kuna motive gani..kama ni fadhila ...si ingetosha kumwambia ahsante na amteue mwaka 2010 mwishoni ..akishaapishwa ....kama rais awamu ya pili????
 
Si tumemkumbusha juzi hapa (last week) kuwa ni mvivu kuchagua hadi ameshindwa kujaza nafasi mbili za ubunge zilizosalia.... finally kaamua kujaza ili asionekane mvivu mvivu.
 
imebaki miezi 5 au 6 rais avunje bunge ...uteuzi huu wa nini..bora wa jussa naweza kuita kuwa ni sahihi kisiasa..as gesture ya kukubali hatua ya karume na seif...unajuwa jussa ndiye mshika mkoba wa seif..miaka yote[PS] ...sasa huyu mama kuna motive gani..kama ni fadhila ...si ingetosha kumwambia ahsante na amteue mwaka 2010 mwishoni ..akishaapishwa ....kama rais awamu ya pili????


Je huyu Mama na yeye si ataondoka na marupurupu yote kama wabunge wengine tu...haijalishi ameteuliwa lini.??!!

Lengo la uteuzi sio kwenda bungeni kuwakilisha wananchi. Lengo ni kulipa fadhila....sasa nani wa kusema huwezi kulipa fadhile kwa sababu imebakia miezi michache bunge kuvunjwa?
 
Je huyu Mama na yeye si ataondoka na marupurupu yote kama wabunge wengine tu...haijalishi ameteuliwa lini.??!!

Lengo la uteuzi sio kwenda bungeni kuwakilisha wananchi. Lengo ni kulipa fadhila....sasa nani wa kusema huwezi kulipa fadhile kwa sababu imebakia miezi michache bunge kuvunjwa?

...kwa muda mchache uliobaki ....uwakilishi atakaotoa kwa miezi hii michache..SIO VALUE FOR MONEY kwa kodi zetu..atapata kiinua mgongo pia...bora angemchagua baada ya uchaguzi!
 
Wananchi tutegemee nini katika uteuzi huu?? wateule hawa kwa muda mfupi wa ubunge uliobaki watawafanyia nini watanzania? Anyway, jichukulieni chenu kwa muda huo baadae laleni mbele.

Hahaaa! Huyu anapata mkpo siju ruzuku ya shngingi na makitu mengine yanayohusiana na ubunge.
Sisi bana! Mi wakinipa pingu tu, achilia mbali bunduki, nafunga mtu kwenye high tention posts za kihansi.

Nggggrrrrr!
 
Back
Top Bottom