Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Ismail Jussa, mwanasiasa kijana wa Visiwani wa CUF anangojea kurithi mikoba ya ufisadi ya Rostam pindi Muirani huyo atakapotimka nchini. Wawili hawa ni maswahiba wakubwa sana na kinachoendelea kati yao si vigumu kukijbaini -- kuwaibia Watanzania. Hivi sasa yuko katika -coaching kabambe ya namna ya kuzinasa dili za kifisadi -- za visiwani na hapa Bara.