Hakika CUF ni kama 'mke' mkorofi wa CCM. . Dr Shein ni mtu muungwana sana. We need a tougher guy to rescue muungano lest the nation split apart. Wapemba wa kariakoo watapata shida sana sababu ya uhuni wa Jussa na Seif, zee liso haya... Kwa kuwa tumeishi vizuri na kwa salama wazenjibara waliowekeza au kubangaiza kashata na gahawa bongo, waanze kujiandikisha uraia wa Tanganyika na 'wazanzibara warudi nyumbani ardhi tele. Kwa heri Dr Bilal, Suluhu, Mahadhi, Mwinyi, Nahodha hakuna vyeo vya bure nendeni kugombea usheha unguja au pemba! Maneno na nahau nyiingi kazi hakuna!