Tunashukuru wanaJF wote mliochangia mjadala Maswali ambayo sikuyasoma ni kutokana na ufinyu wa mud a ila tutamuomba Jussa wayajibu hapa katika forum.
Anatumia ID gani mkuu
Id yake ni ritz
Mkuu hii ni kila mwezi,uchaguzi mkuu kwa mujibu wa doyo,Lipumba alipewa milioni 70 na Maalim Alilamba milioni 500!Milioni zanzibar 7 Miioni 30 Tanzania Bara.. Matumizi mbona mnatuchanganya..Matumizi kasema Jussa
hivi cuf ni chama cha zanzibar na waislam tu?mbona huku moshi na arusha hamna chama kama hicho?au wanaogopa wakristo?
Milioni zanzibar 7 Miioni 30 Tanzania Bara.. Matumizi mbona mnatuchanganya..Matumizi kasema Jussa