hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Inasemekana Ushirika wa Ismail Jusa Katibu Mkuu Msaidizi CUF Zanzibar na Mohamed Raza mshindi wa uchaguzi wa Uwakilishi JIMBO la Uzini Zanzibar ulikua moja ya sababu za Cuf kugalagazwa vibaya katika uchaguzi huo, mbali na udhaifu ulioonyeshwa na Uongozi wa chama katika siku za karibuni.
Nyepesi nyepesi za ndani zinadai kwamba Raza ambaye Ni Rais wa Jumuiya ya Jamatini (waShia) Zanzibar:A S embarassed: Ambapo Jusa Ni Mjumbe wa Jumuiya hiyo hiyo, hivyo kwa Jusa kwenda kinyume na Rais wake ambaye kiimani Ni wamoja, ingekua Ni kosa kubwa sana na ingepelekea KUTENGWA na Wanajumuiya wenzake.
Kwa Taratibu za Jumuiya hiyo, Huwa wanakutana kila jioni pamoja na kusali pia hutumia muda huo kupanga mikakati ya kuboresha Umoja wao na kuhakikisha wanasaidiana kwa kila hali katika maisha ya kawaida. Hivyo kuteuliwa kwa Raza imekuwa Ni fursa nyingine kwa kuimarisha Jumuiya Yao kwa kuweza kuingiza muwakilishi madarakani.
Hivyo basi, kwa CUF kushika namba 3 Uzini, haikuwa bahati Mbaya na kwa kutumia propaganda za kisiasa ndio akaja na hili la Ukristo na Ubara pale Uzini kujificha, ilhali anajua fika imani yake ikichagizwa na ile DHAMBI ya Ubaguzi Inayoendelea kumtafuna (Sisi Wazanzibar wao Watanganyika) ndio vilivyomsukuma kusaliti chama chake. AMA kweli "kikulacho kinguoni mwako"
Nyepesi nyepesi za ndani zinadai kwamba Raza ambaye Ni Rais wa Jumuiya ya Jamatini (waShia) Zanzibar:A S embarassed: Ambapo Jusa Ni Mjumbe wa Jumuiya hiyo hiyo, hivyo kwa Jusa kwenda kinyume na Rais wake ambaye kiimani Ni wamoja, ingekua Ni kosa kubwa sana na ingepelekea KUTENGWA na Wanajumuiya wenzake.
Kwa Taratibu za Jumuiya hiyo, Huwa wanakutana kila jioni pamoja na kusali pia hutumia muda huo kupanga mikakati ya kuboresha Umoja wao na kuhakikisha wanasaidiana kwa kila hali katika maisha ya kawaida. Hivyo kuteuliwa kwa Raza imekuwa Ni fursa nyingine kwa kuimarisha Jumuiya Yao kwa kuweza kuingiza muwakilishi madarakani.
Hivyo basi, kwa CUF kushika namba 3 Uzini, haikuwa bahati Mbaya na kwa kutumia propaganda za kisiasa ndio akaja na hili la Ukristo na Ubara pale Uzini kujificha, ilhali anajua fika imani yake ikichagizwa na ile DHAMBI ya Ubaguzi Inayoendelea kumtafuna (Sisi Wazanzibar wao Watanganyika) ndio vilivyomsukuma kusaliti chama chake. AMA kweli "kikulacho kinguoni mwako"