Mtoa mada hii mbona hujaifanyia utafiti suala hili?wanatorosha kupeleka wapi?na WHY umetoa picha yao kabla hawajasimama mahakamani??nchi now inaendeshwa kisheria na sisi ni wajibu wetu kuishi kisheria,hawa ni suspects na haki zao bado zipo kama mimi na wewe,sasa ikitokea walikamatwa kimakosa na wakaachiwa huoni utakua umewakosea?maana kuwatoa hadharani tayari umeshawahukumu.
Hayo Madini yalikuwa yakienda Siku zote inatokea mara chache wanoko wakimchomea mtu ndo kukamatwa.....hata barrick sjui GGM mwadui na migodi yooote hawajawai acha safirisha madiniNchi imefunguliwa, acha mzunguko wa pesa uje mtaani
Jamani utoroshaji wa madini wapeni wanawake...!mnafeli wapi?Mkuu wa wilaya ya Ulanga Ngolo Malenya na kamati yake ya usalama wamemkamata mwekezaji Mtanzania Junior Kasanga akishirikiana na watu wengine wakiwemo raia kutoka nchini China wakitorosha madini ya dhahabu waliyochimba kwenye mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
View attachment 1805686
Hata wewe ukipata kumiliki nafasi kama izo lazima utatafuta kuuza nje kinyemela ujapata fursa za kukamata pesa ndo maana unafoka tu apaMa nchi kama haya ambayo watu wake kuiba wanaona ni moja ya njia ya kujipatia kipato ni bora kuwa na viongozi madikiteta tu kwa maana democrasia haiwezi kufanya kazi kwa Africa hata siku moja .
Jadi yetu weusiUzalendo ni msamiati mgumu mnoo kwetu, sababu wizi unaanzia kwa wale tuliowaamini na kuwapa madaraka..
Kila mtu akipata nafasi anapiga tu, hata mimi ikitokea mazingira ya kupiga nitapiga(unafiki sipendi)
Bahati mbaya kwa mwamba kanaswa tu..
Nitajie dikteta asiye mwiziMa nchi kama haya ambayo watu wake kuiba wanaona ni moja ya njia ya kujipatia kipato ni bora kuwa na viongozi madikiteta tu kwa maana democrasia haiwezi kufanya kazi kwa Africa hata siku moja .
Duh...nchi imefunguliwa Sasa kwanini wakamatwe.....hao wamebambikiwa tu....waachiweMkuu wa wilaya ya Ulanga Ngolo Malenya na kamati yake ya usalama wamemkamata mwekezaji Mtanzania Junior Kasanga akishirikiana na watu wengine wakiwemo raia kutoka nchini China wakitorosha madini ya dhahabu waliyochimba kwenye mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
View attachment 1805686
Mkuuu umeongea vizuri kabisa, Nimekaa sana Isyaga.Uzalendo ni msamiati mgumu mnoo kwetu, sababu wizi unaanzia kwa wale tuliowaamini na kuwapa madaraka..
Kila mtu akipata nafasi anapiga tu, hata mimi ikitokea mazingira ya kupiga nitapiga(unafiki sipendi)
Bahati mbaya kwa mwamba kanaswa tu..
Wachina ni wahuni sana, kuna mmoja alikuja kupanga kwenyw apartment yetu nikamuuliza anaitwa nani na anafanya kazi agani akaniambia anaitwa Esta Mushi, nilimtimua nikamwambia asirusi tenaMkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya na kamati yake ya usalama wamemkamata mwekezaji Mtanzania Junior Kasanga akishirikiana na watu wengine wakiwemo raia kutoka nchini China wakitorosha madini ya dhahabu waliyochimba kwenye mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
Unaandika kama vile wezi hawafanyi makusudi.. Ebu acha wizi bana!Hata wewe ukipata kumiliki nafasi kama izo lazima utatafuta kuuza nje kinyemela ujapata fursa za kukamata pesa ndo maana unafoka tu apa
Hahahaha! Ulimuuliza kichina? Uskute lugha zilikua zinagongana.Wachina ni wahuni sana, kuna mmoja alikuja kupanga kwenyw apartment yetu nikamuuliza anaitwa nani na anafanya kazi agani akaniambia anaitwa Esta Mushi, nilimtimua nikamwambia asirusi tena