Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Wafanyabishara wasishurutiswe, waongeleshwe ka upole....! Kazi na iendelee!Nchi imefunguliwa, acha mzunguko wa pesa uje mtaani
Wafanyabishara wasishurutiswe, waongeleshwe ka upole....! Kazi na iendelee!Nchi imefunguliwa, acha mzunguko wa pesa uje mtaani
Sukuma gangNchi imefunguliwa, acha mzunguko wa pesa uje mtaani
Wasukuma mnatapatapa tu shenzi nyinyi,,Wafanyabishara wasishurutiswe, waongeleshwe ka upole....! Kazi na iendelee!
Usukuma wa huyo jamaa ulomquote umeutambuaje? au kila mtu uliye na chuki nae unamwita msukuma!Wasukuma mnatapatapa tu shenzi nyinyi,,
Dikteta magufuli siyalikamatwaga madini kule Mwanza ya billion Tatu,,
Mwisho wa siku akatoa amri yaachiwe baada ya kupewa mgao
Yes,kama wewe pia si sukuma GangUsukuma wa huyo jamaa ulomquote umeutambuaje? au kila mtu uliye na chuki nae unamwita msukuma!
Wewe tulia, Kuna taratibu za usafirishaji wa madini hata kama umeyachimba sebuleni kwako huwezi kuyapeleka hata distance ya mita 500 bila kupata Kibali maalum cha usafirishaji. Hao walikuwa wanasafirisha kiholela na kwa kwa tafsiri ya sheria zilizopo ni utoroshaji, period.MAIGIZO YATAISHA LINI?
JUNIOR KASANGA HUO MGODI NI WAKE. KACHIMBA KAPATA DHAHABU 2.6 kg NYIE MNALAZIMISHA AWAUZIE NYIE! MUACHE AKAUZE PANAPOFAA.
HUYO SIO LAIZER MLIYEMDHULUMU!
Chuki si nzuri ndugu, hilo kabila unalolingia lina nini tofauti na wasukuma?Yes,kama wewe pia si sukuma Gang
Tena huko ziko za "magotini" na zinasoma fresh mnoKumbe moro kuna goldi?
Halafu nasikia mjini tuTena huko ziko za "magotini" na zinasoma fresh mno
Yes...sio interior...! Kuna dogo kwa wiki anakimbiza had gm100Halafu nasikia mjini tu
Ni muwekezaji✔️Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya na kamati yake ya usalama wamemkamata mwekezaji Mtanzania Junior Kasanga akishirikiana na watu wengine wakiwemo raia kutoka nchini China wakitorosha madini ya dhahabu waliyochimba kwenye mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
--
Serikali wilayani Ulanga mkoani Morogoro imewakamata watu saba akiwemo mwekezaji mzawa Junior Kasanga na raia wawili wa China kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 337.5 kutoka katika mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
Akizungumzia tukio hilo Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya, amesema kuwa dhahabu iliyokamatwa ina uzito wa gramu 2,640 sawa na kilogramu 2.64 ambapo amebainisha serikali bado inaendelea kuwafuatilia wawekezaji wengine ambao wamekuwa na tabia ya kutorosha madini na kusababisha kupotea kwa mapato ya serikali.
Kwa upande wake Kaimu Afisa Migodi wilaya ya Ulanga, Edward Ngulinja, ameeleza awali wawekezaji hao walifika katika ofisi ya madini ya wilaya hiyo kwa ajili ya taratibu za kisheria ndipo walipo watiliashaka kuwa kuna udanganyifu wanafanya na kuvitaarifu vyombo vya ulinzi na usalama.