Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Bi June Ruto ambaye ni Binti wa Naibu Rais wa Kenya Dkt William Samoei Ruto amefunga ndoa takatifu na Dkt Alexander Ezenagu.
Bwana harusi Dkt Ezenagu ni Raia wa Nigeria.
Sherehe za harusi zilifanyika siku ya Alhamisi Mei 27, 2021 maeneo ya Karen Jijini Nairobi.
Rais Uhuru Kenyatta ametuma salaam za pongezi na ameahidi kwenda kuwaona na kuwapongeza Wanandoa hao baada ya kumaliza ziara yake Kisumu.
Bwana harusi Dkt Ezenagu ni Raia wa Nigeria.
Sherehe za harusi zilifanyika siku ya Alhamisi Mei 27, 2021 maeneo ya Karen Jijini Nairobi.
Rais Uhuru Kenyatta ametuma salaam za pongezi na ameahidi kwenda kuwaona na kuwapongeza Wanandoa hao baada ya kumaliza ziara yake Kisumu.