nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,620
- 826
Toka hukoDuuuuuh.....ni hatari sana kama ndio hivyo
Toka hukoDuuuuuh.....ni hatari sana kama ndio hivyo
we katekista acha kutetea kila kitu mnatuboa sana kila cku hela .mekariri kuw sadaka n lzma kanisani?Huo ni uwongo wa mchana kweupe, mbona mnatenda dhambi nzito kiasi Hicho. Muende mkatubu.
shimbonyi meku/mkekuToka huko
Nakushauri km vipi sepa hatukubembelezi.we katekista acha kutetea kila kitu mnatuboa sana kila cku hela .mekariri kuw sadaka n lzma kanisani?
Ujinga upi hapo ??. Km Michango mingi hama Kanisa au anzisha la kwako, full stop, Hamna kudekezana hapa.we katekista acha kutetea ujinga
Acha kusali na uhame Kabisa Kanisa, halafu tuone km kwa ubahiri wako km utanunua hata ka Fast jet kamoja !!!.we katekista acha kujivua ufahamu mnatukamua mno alafu mnatukaririsha kuwa sadaka n lazma kanisan? tatiz tunakaririshwa mno sheria za kanisa badala ya Bible
,imenibidi nicheke kidogo kwanza, maana kuna wakati Vichaa nao hawajambo kwa kuchekesha.Na wewe ndio wale wakatili, wezi na majambazi mnaowaibia waumini kwa visingizio vya sadaka, za mwizi 40, mtakamatwa tu..
Tafuta kazi, jipatie kipato chako halali kuliko kutegemea kuiba toka kwenye sadaka..
Ha ha ha kumbe ni katekistaNakushauri km vipi sepa hatukubembelezi.
Mkuu mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea mambo ambayo ni kawaida..??Tatzo kubwa la baadhi ya wakatoliki ni kushika sn sheria za kunisa kuliko biblia yenyewe. Mleta mada hapa ameleta malalamiko ya mambo ambayo yameenea takribani makanisa yote. Mimi nnajamaa zangu wa SDA nao walishanimbia kwamba hata kwao sku hz kero hz zimeanza kushamiri. Unapopaniki ili kuficha uovu haikusadiii ww wala dhehebu lako. Usjifanye kusahau baadhi ya viongoz walivyoliletea kanisa katoliki aibu kwa kupokea fedha za Es.c.r..w chanzo ndo hiyo hiyo michango. Funguka ndugu sote ss ni wamoja na ukristo ni wetu sote tumekemee kwa nguvu mambo yote yanayoweza kutusababisha tushindwe kuiona mbingu.
Hivi ukatoliki nao ni Ukristo au mpango mahsusi wa kuwapeleka watu jehanam?Acheni roho mbaya jamani,mnawadanganya watu kuwa wanamuamudu Mungu,kumbe kwa makusudi kabisa kwa siri mnawaabudisha Shetani.Huruma sana.Adhabu yenu itakuwa kubwa sana mbele za Mungu.Eti umesemaje??? Hivi unafikiri kuna Ukristo bila Ulatoliki..??
Hakuna jazba hapo...,mtoa mada kama michango ni mingi hakuna aliyemshikilia kwasababu kanisa haliwezi likavuruga taratibu zake kwasababu ya mtu au kikundi cha watu wasiopenda kujitolea.Ha ha ha kumbe ni katekista
Sasa mtumishi jazba za nini mpk unafukuza waumini wanaolalamikia jambo la ukweli, mnawafunga midomo wasihoji
Punguzeni michango mnawakamua sana waumini na kuwatisha kuwanyima huduma kwa kigezo cha pesa
Mbona hawara pamoja na bia unawapa nyingi? Huoni kwamba unamuibia Mungu? Siku hizi wajomba hawatoi. Hatuna budi kulitegemeza kanisa letu wenyeweWanajamii sijui tunaelekea wapi katika maisha haya?
Kanisa Katoliki tumezoea kuwa na Jumuiya ndogo ndogo kwa ajili ya kusali pamoja na kushirikiana mambo mbali mbali ndani na nje ya kanisa. Zamani tulizoea kutoa sadaka tu kila tunapokutana katika jumuiya huzi zetu na sadaka hizo hupelekwa kanisani.
Lakini siku hizi mambo tofauti michango imekuwa mingi mno tena michango hiyo huanzia elfu kumi kwa kila kichwa.
Mfano, sisi katika jumuiya yetu msalaba ukilala kwako yani siku jumuiya ikisali kwako unatakiwa utoe shilingi elfu kumi, sadaka iliyopangwa kutolewa kila jumamosi ni shilingi elfu moja na mia tano kila kichwa, pia kuna mchango wa ujenzi wa kanisa kila mtu elfu 30.
Kuna mchango wa familia ya mtoto Yesu kila mmoja anatakiwa kutoa elfu kumi ili tuitimize laki tatu kwa kila jumuiya, mbali na hiyo kunakuwa na bahasha ya zaka zinakuwepo.
Yaani kwa kifupi kila wiki tunaposali kunakuwa na michango karibu 8 na yote inaanzia elfu kumi.
Tatizo linakuja usipolipa hiyo hela jumuiya inakutenga hadi ulipe madeni yote ndo unaruhusiwa tena kuingia kwenye jumuiya. Kwa sasa jumuiya yetu imevunjika kwa ajili ya michango kuiwa mingi ukizingatia hali halisi ya maisha ya sasa.
Kweli wakristo nwenzangu hapa ndipo tulipofikia? Tunaelekea wapi kanisa katoliki la leo?!
Sasa kama hutaki shiriki kanisani kwanini tukubatize huna ushirika nasi halafu unataka batizwaEti mtu km hatoi sadaka na michango wanagoma kumbatiza mtoto wake( japo ubatizo wa watoto si sahihi),wanagoma kufungisha ndoa nk sjui huu utaratibu wameutoa wapiii??Kituko kingine kubatiza mtoto hela, kuandikisha ndoa hela.Yaani hela hela helaa !!! Ukristo gani huu jamani tukubali ukweli na tuwaambie watumishi ukristo umepotokaaaa
Huyo mtu shida yake akiwa kanisani huwa anasinzia hakumbuki lile ombi "usizitazame dhambi zetu ila imani ya kanisa lako"Usimwangalie Kardinali Pengo, wewe Mtazame Kristo huyo ndo Kipimo cha Ukamilifu, Pengo ni mwanadamu km wewe tu, Huoni hata Petro alikemewa na Yesu kuwa Rudi Nyuma yangu Shetani wewe ???!!!. Wakati kabla yake alimwambia "Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu ".Sasa km Petro aliwahi kuitwa Shetani, sembuse Pengo. Tafadhari Usikwazike kizembe hivyo.
Na ukiwa tajiri maarufu wanakuja maaskofu 5 na mapadri 8Viongozi wa kanisa hili wabaguzi, ukifa mlalahoi anatumwa katekista kwenye ibada ya mazishi, akifa tajiri kwenye mazishi anakuja padri. (Kwa walio waumini tuu)