Hivi hii jumuiya ya wazazi ya CCM inawakilisha wazazi wangapi hapa nchini? Nijuavyo mimi hiki ni mojawapo wa taasisi zilizoundwa wakati wa ukiritimba wa chama kimoja na sasa zinaendelea kuwepo kupitia mgongo wa raslimali iliyochangiwa na wananchi wote bila kujali itikadi yao.
Hivi hii jumuia uwa bado ipo?
Tiba