Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Jumuiya ya wanataaluma Waislam wa Tanzania wanetoa msaada wa vifaa vya tiba Kwa Hospital ya Muhimbili huko Dar es Salaam venye thamani ya shiling za Kitanzania MILLIONI mia moja katika maeneo ya Upasuaji, vifaa vya nusu kaputi, vifaa vya matibabu ya Pua na koo na masikio, vifaa vya watoto na vifaa vya nusu kaputi na vya ICU.
Vifaa hivyo vilikabidhiwa na Rais wa Jumuiya hiyo Bwana Mussa Mziya kwa waziri wa Afya na ustawi wa jamii Dr Hussein Mwinyi.
Kwa maelezo na picha pitia hapa
MICHUZI: JUMUIYA YA WANATAALUUMA WA WAISLAM TANZANIA WATOA MSAADA MUHIMBILI
Vifaa hivyo vilikabidhiwa na Rais wa Jumuiya hiyo Bwana Mussa Mziya kwa waziri wa Afya na ustawi wa jamii Dr Hussein Mwinyi.
Kwa maelezo na picha pitia hapa
MICHUZI: JUMUIYA YA WANATAALUUMA WA WAISLAM TANZANIA WATOA MSAADA MUHIMBILI