Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Hi wana jf.
'Watoa misaada' kutoka jumuiya ya ulaya wamelipa Baraza la Mawaziri uhai usiozidi miezi 18 . Ktk kipind hicho ni lazima Jk atalivunja na kuunda upya. Na wameonesha kuwa mawaziri walio ktk nafasi ya kurudi kwenye wizara ni Dr Magufuli na Prof. Tibaijuka
'Watoa misaada' kutoka jumuiya ya ulaya wamelipa Baraza la Mawaziri uhai usiozidi miezi 18 . Ktk kipind hicho ni lazima Jk atalivunja na kuunda upya. Na wameonesha kuwa mawaziri walio ktk nafasi ya kurudi kwenye wizara ni Dr Magufuli na Prof. Tibaijuka